mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Hahaaa safi sana.....yaan mule muleAna wivuuuuuuuu hamna mfano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa safi sana.....yaan mule muleAna wivuuuuuuuu hamna mfano
Ndo maana nimesema huyu dada ndo kamfanya mumewe awe hivo alivo. Sasa watu humu wanamshauri kuvunja ndoa, khaaa!!Hahahaaa
Nishajua aiseee...Nigga alioa kitu kilichomzidi uwezo kiuzuri....this is really big problem.
Men act weird and out of character....
Kwa uzuri wako aisee,I doubt,maana TZ wanaume tupo sawa in such a way kupata high value man than huyo mwenye confidence ya kuvumilia tako kubwa la mwanamke wake ndani ya jeans linazunguka freely,itakua changamoto aisee!
Jikondeshe kama Wema uone jamaa kama hatarudi fastaaa
Mbona umebadilika na wewe ndio umekuwa na makasiriko tu bila sababu that's was my opinion na Mimi niliheshimu opinion zako mwona mito tumeelewana watu huendana kulingana na taste zao na preference my preference staki hizo pigo za mtu kunichukulia mtoto eti kisa mwanaume na mtu alikataa uanze kufanya ujinga na kutelekeza familia na ada ulipi eti kisa mke uliyemkuta huvaa aina flani ya mavazi to me is childish na ninaona naishi na mtu immature hatuendani shida iko wapi?Hamna anayependa kupelekeshwa na swala sio kupangiwa ila inaonekana hata taking peoples opinions is an issue kwako from this piece of writing. We na Magufuli mmetofautiana kasha tu ila akili na utashi mnaendana.
Ngumu sana ku deal na character ya namna hio na ndio maana kila mtu atakuona una kiburi tu ila they are people who can live with that na wengi ni wazungu kwa jinsi navyoona. Mwanaume akikwambia kitu una strike straight away [emoji28][emoji28][emoji28] unaona anakupangia maisha. Hapo mtakuwa mnabishana on everything maana hutaki kusikia usichokipenda!
Khaaa, kumbe tayari ushaondoka kwa mumeo[emoji2962][emoji2962][emoji2962]Ninarudi kwetu na kesho ijumaa nitakwenda ili weekend niji sort vizuri j3 niweke ratiba vizuri za shule kwa mtoto na kwangu
Wewe umemuelewa vizuri sana.Ndo maana nimesema huyu dada ndo kamfanya mumewe awe hivo alivo. Sasa watu humu wanamshauri kuvunja ndoa, khaaa!!
Daah imeniuma sana, wadau wameishamuingiza chaka, kaishaondoka kwa mumewe kumbe!!Wewe umemuelewa vizuri sana.
Kusuluhisha ugomvi wa ndoa ambao Mwanamke ndiyo anasema ni victim inahitaji akili ya ziada.
Hahahaha! kwamba ile kisela tu ukijisikia chochote unafanya.Hata ka hajapendeza inakuhusu Nini kinachofanya watu wateseke nikutaka mtu mzima mwenzake afanye interest zake kichwani na kusahau kila mtu na kichwa chake na hatuwezi kufanana. Lack of maturity na kuheshimu wengine ni janga Sana huku Africa, wewe ni baby wangu tumekutana utu uzima na magego yetu 32 yet unataka unibadilishe au uwe baba angu au mamangu kunipangia maisha hapo ndo watu hukosana wengi, na mwisho kujipatia migungu ya mahusiano for the rest of your life.
Wala sina kasiriko hata naona tukubali kutokukubaliana tu! Kila mtu ana namna anapenda ishi maana kama hakuna compromising basi kila mtu atabaki single!Mbona umebadilika na wewe ndio umekuwa na makasiriko tu bila sababu that's was my opinion na Mimi niliheshimu opinion zako mwona mito tumeelewana watu huendana kulingana na taste zao na preference my preference staki hizo pigo za mtu kunichukulia mtoto eti kisa mwanaume na mtu alikataa uanze kufanya ujinga na kutelekeza familia na ada ulipi eti kisa mke uliyemkuta huvaa aina flani ya mavazi to me is childish na ninaona naishi na mtu immature hatuendani shida iko wapi?
Na hapo kunifananisha na magufuli wrong mfano kabisa hata magufuli alikuwa na taste na misimamo yake ka Mimi niliyo nayo wewe, na yoyote why muone yeye haambiliki, the only problem inayotesa watu ni kuhukumu wengine na kutaka waishi jinsi vichwani mwenu mnavotaka. Watanzania wengi wakiishi na other people from different culture huwa ni judgemental Sana, so hata magufuli usimuonee na yeye aliishi alivotakana na wewe ishi unavotaka siwezi kukuhukumu it's you mazee
Ndo hivyo waachane, hakuna kulazimishana.Nami niko namuombea jamaa ashikilie msimamo wake asiteteleke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaishije na mwanamke asiye na utii kwa mumewe
Ndo hivyo waachane, hakuna kulazimishana.Nami niko namuombea jamaa ashikilie msimamo wake asiteteleke![]()
![]()
![]()
Unaishije na mwanamke asiye na utii kwa mumewe
Halijawahi kuwa dhambi, uzuri anajiweza financially.Mwache akaongeze idadi ya singo maza mtaani
I like compromises kwa situation ambazo ni win win situation Tena kuwe na strong reasons na kitu beneficial for all bana. Sababu dhahania big no kwa kweli Sasa mtu anayekwambia uvae dira uta compromise naye maana tayari ni akili ndogoIla Cariha
Inatakiwa ujifunze kitu kinaitwa "Compromises"
Lazima ucheck huku na huku,sometimes misimamo usually work against yourself
Haki me wa hivo alinishindaga ndo nikaoa huyu mrs mito. Yaan alikuwa typical kama huyu dada, alikuwa mzuri wa sura na umbo matata, ana elimu, na kipato. Nikawa najisemea huyu kabarikiwa kila kitu, so nitafanya naye maisha safi kabisa. Weee mbona niliinua mikono nikasepa zangu.
Mimi napenda kuheshimiwa na mke wangu, mimi napenda mke mtiifu. Sasa wa hivi ukimwambia hiki sitaki, utashangaa ndo anakifanya zaidi, so tafsiri yake ni dharau na kiburi. Anakutia stress na kukufanya insecure.
Halafu unategemea kwenu kutokee tatizo then nitoe ushirikiano kama kawa, nyooooo!!!
Kifupi yeye ndo kamfanya mume amtreat hivo. Mume anajiona hana mke, bali mzazi mwenzie tu, ndo maana kaamua kufanya yake kimya kimya tu.
Dada yangu ukitaka kuishi vizuri na mumeo akikisha unajua nini anapenda na nini hapendi. Anavyovipenda viendeleze. Asivyovipenda anachana navyo. Kama mume hapendi uvae nguo za aina fulani, achana nazo. Au ukiacha utakufa?
Umejaliwa guu, umejaliwa tako, na ndo moja ya vitu vilivomvutia kwako. Aliviona wakati unatupia vimini, wakati ule unatupia viwalo vya kuchora tako.
Sasa kakuoa hataki u-expose mali zake, hataki uvae hizo nguo tena. Anahisi wanaume wengine watakutamani kama yeye alivyokutamani hadi akakuoa. Anahisi anaonekana kama kahaba, anaonekana kama bado yuko sokoni, anaonekana kama mavazi yasiyo na staha kwa mke wake. Sasa amekukataza mavazi ya hivo lakini wewe husikii tu, what so you expect? Unataka kufurahisha mumeo au wapita njia na wafanyakazi wenzio wakusifie?
Huyo dada ndo kamfanya mumewe awe hivo. Tena ukichunguza kwa makini hao wadada wenye wako tayari kugombana na mume wako kisa anamzuia 'kupendeza' utakuta hata siyo waaminifu kwa waume zao, ni chaeaters wa hatari.
Mwache tu aachike awe chakula cha mabahari huku mtaani.
Sijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?
Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.
We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
Umepotea sana
Mama alipigwa hadi kulazwa? alinyanyaswa kihisia na kimwili? Unajua kuna vitu watu tumezoea sababu tumekua tukiviona tangu wadogo so tunaona kawaida..unless uliyaona hayo nyumbani, huwezi kuchukulia hili kawaida.Nimebahatika kuishi na wazazi wangu waliokuwa kwenye ndoa ambayo hivi karibuni kifo kimeitenganisha kwa kumchukua baba.
Wameishi maisha ya ndoa miaka zaidi ya 40..hakuna mikiki ambayo haijawahi kutokea na ilikuwa inatokea naona.
Laiti wangesema waachane basi sidhani kama wengine sisi tungekuwepo.
Kwa namna ya kibinadamu kuna muda inafika mnaweza tamani hata muwaachanishe tu maana wanachosha..
Lakini tulimlilia Mungu,
Lakini kilikuwa kipindi tu,kilipita na mambo yakakaa sawa maisha yakaendelea vizuri.
Kwa kweli..raha ya ngoma uingie ucheze.[emoji1787][emoji1787]Hahahah anahitaji miaka kadhaa ndani ya taasisi kisha ndio atajipata na elimu kubwa
Waliopo ndani wanatamani kurudisha saa nyumaKwa kweli..raha ya ngoma uingie ucheze.[emoji1787][emoji1787]