harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Hatari,Mwanamke unakila kitu,kwa huyo shetani unasubili nini?Hello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?
I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.
It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;
1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)
2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'
3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake
4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)
5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia
6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot
7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.
8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)
Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.
Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo
I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.
Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa
But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
you are lucky.wengi mpaka wachizike[emoji23][emoji23][emoji23]andoza andoza we differ oooh ningekuwa Mimi sigeuki nyuma Wala staki ushauri bana Kuna wanaume ni toxic and selfish they don't care other people's feelings Mimi hata mtu nisiye kuwa na ukaribu naye huwa na feel bad kumuumiza loh.
Hapana kuchizika kwa kweli naweza kukupenda kweli ila matendo mabovu yalikuwa kithiri nakupiga kibuti matata, Kuna mwanaume nilimpenda vibaya ila nilinyoosha mikono kabisa, Mimi sifugi donda lisilopona na nimejifunza kutumia akili kwenye mahusiano staki hisia bana ukiwa mwema na nesa na biti ukiwa hovyo na ku treat hvo hvo, Sasa wanawake wengi wanaumizwa na wanavumilia ili kuonyesha kuwa na ndoa loh, life is short why mtu mzima mwenzangu anitese wakati naweza kutafta vitoa nyege tu na life likaendelea [emoji23][emoji23][emoji23] halooo.you are lucky.wengi mpaka wachizike
Mkuu sikubaliani na ukatili anaoufanya huyo jamaa, lakini huyu Dada kuna jambo alifanya likatoa hayo matokeo.It does not matter,I am a man and I have abused women and I assure you it is very wrong.Very bad and very stupid.But it happens alot of other men do it and sometimes it starts with a woman or with a man but it is still wrong.
Now I made a humble choice,I do no allow my woman to turn me into the monster I was.I hate me then.
Rafiki yangu hawa wanawake ni viumbe wabaya sana lakini nitakwambia ukweli kwamba Kuwa violent haina justification.Kama hakufai Let her GO.
Kwa nini ufuge mnyama ambaye humli nyama?wala hafai kwa mtumizi mengine?
Uongo wake Nini?Wewe muongo ......tumhurumie mwamba maaana anayopitia kisa mwanamke huyuu hatari
Nyuzi za aina hii huwa mara nyingi napita kimya ila hii komenti yako imenifanya nicheke kidogo imebidi tu nikomentiPole Sana,
Ndoa zina shida na raha,,upendo wa kweli hudhihirika wakati wa shida na mateso.
Je,tukiwapenda watupendao twafanya ziada gani?
Wapendeni wote,waombeeni wanaowaudhi.
Zidi kuomba,usichoke..
Ipo siku atabadilika,,,kuwa mwaminifu na msihi Mungu ambadilishe.
Nb: Sikushauri uvunje ndoa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
👏Niseme tu we mleta mada ndio tatizo maana uwezi fanyiwa hayo yote kwa Karne ya Sasa na bado upo upo tu huelewi ufanye nini!
Et unalipa ada za wa Toto wewe,unalisha familia wewe,bills unalipa wewe,unapigwa wewe.
than mwamba ni mfanyabiashara tena biashara inayotema kipato Cha maana na ataki kukupa support yeyote na bado unataka kuambiwa ni nn Cha kufanya?
Ata mm nikikufanyia hayo yote na bado ukanivumilia sintakua na msaada na wewe yaan wewe kwangu ni mtumwa tu.
Kabisa wengine wanakuwa ni mateja wa manyanyaso, so atasikiliza upande wa VUMILIA NDO NDOA ZILIVYO, yaan kama kweli hayo manyanyaso unapata mkuu ondoka hapo!Uvumilivu wake sio wa kawaida, Ila nakwambia huyo dada haondoki hapo... miaka nenda rudi atakuwepo hapo hapo. Tunapoteza muda kumshauri
Hakika!Asee ukiona ndoa imekushinda.. Usisubiri ushauri.. Maana wewe ndo unae yapitia ndio unaejua hali halisi tofauti na utakavyo msimulia mtu..
Mi alinitishia kunywa sumu,nami ni mhanga wa kutaka kusepa.Najisemesha tu hapa wakati mwenyewe nashindwa kutoka.AAAgrhhhNi rahisi kuongea tu, unafikiri hawajawahi kuw na good time?
Unafikiri huyu anayesemwa hana uzuri hata chembe?
Hapa yamechaguliwa madhaifu peke yake mazuri anayajua yeye ndio maana haondoki kirahisi.
Pili mkishazaa umekuwa mfungwa daima kwani kuna wakati unawahurumia wanao
ndoa ipi? labda kama una kiben tenJamani mbona ndoa tamu hivii, nyie wengne mnakwama wapi?
[emoji38]Nyuzi za aina hii huwa mara nyingi napita kimya ila hii komenti yako imenifanya nicheke kidogo imebidi tu nikomenti
Hahaha hilo ni zigo lako tuMi alinitishia kunywa sumu,nami ni mhanga wa kutaka kusepa.Najisemesha tu hapa wakati mwenyewe nashindwa kutoka.AAAgrhhh
Ahahaa ndo huwa mnadanganywa eti siweziishi bila wewe ukiondoka nakunywa sumu, jiongeze sumu hanywi wala. Anapata nguvu ya kukunyanyasa halaf anakuwa kakufanya teja wake wa vipigo, dharau n.kMi alinitishia kunywa sumu,nami ni mhanga wa kutaka kusepa.Najisemesha tu hapa wakati mwenyewe nashindwa kutoka.AAAgrhhh
Hili suala la kwenda trip na washkaji limeanza kunishtua.,,,lolHello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?
I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.
It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;
1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)
2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'
3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake
4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)
5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia
6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot
7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.
8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)
Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.
Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo
I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.
Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa
But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
VeeeeeeryAbuse is also addictive