Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Nashauri wanawake titaftee wanaume waliotuzidi kila kitu kuanzia dhambi, maturity level ili tu enjoy si kila mwanaume mvaa suruali kweli ni mwanaume aisee.

Mkuu fanya reset your mind to default... hehehehe haya mawazo unawaza ni ProMax
 
Yani Mungu mambo yote aliyonayo kushughulikia ahangaike ndoa ya loser man like huyu jamani?
Aanze kumuuliza dada wa watu, Mumeo yuko wapi?
Kweeeeli?
Na miti yote hii ya kuipa mizizi, wanyama wa kupona bila kwenda hospitali.
Magonjwa ya kuponyesha.
Watu wa kuumba.

Yote haya?
Weeee sio kweli
Mkuu snowhite umefanya nicheke kwa comments zako humu, you a are very straight forward na umekuwa mkweli mno.

Inaonekana hata nyumbani utakuwa hivyo kwa Mr wako, ila kumbuka Wanaume tunapenda Wanawake kama wa mtoa Mada 😀😀

By the way, Kama unakunywa, agiza Hennessey kwa Mangi nitalipa kwa M- Pesa.
 
Ukianza kutafuta ushauri na justification kwa watu ju bado hujaumizwa haswaaaa.Wait for the day that you'll wake up pack and leave without consulting the internet for opinion...hapo ndo utajua umechoka hasa .
You're asking for opinions coz you're hoping someone will tell you.."stay he'll change, give him time....deep in you expect him to tell you baby let's start over I'll change. Sis he won't change staying is hard and leaving is not easy choose what will give you a peace of mind and don't ask for opinions.
 
Sijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?

Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.

We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
Jmn demi [emoji23][emoji23]
 
Mkuu snowhite umefanya nicheke kwa comments zako humu, you a are very straight forward na umekuwa mkweli mno.

Inaonekana hata nyumbani utakuwa hivyo kwa Mr wako, ila kumbuka Wanaume tunapenda Wanawake kama wa mtoa Mada 😀😀

By the way, Kama unakunywa, agiza Hennessey kwa Mangi nitalipa kwa M- Pesa.
Hahahahhahahhahaha bro kwamba nije PM nikuandikie namba ili utume hela ya Hennessy?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mnawapenda hawa ila sisi wanywa Konyagi wenzenu ndo tumebaki.
Tuvumiliane tu!!
 
Ni kweli hivyo ndio ilivyo....

Usipokua submissive your marriage market value strangely becomes really low!

Sasa basi,kama huu ndio ukweli,wadada wanaotaka kuolewa ni lazima wakubaliane na masharti ya hawa potential buyers,otherwise ni issue...

Nina mdogo wangu wa kike yupo kama Cariha,mpaka sasa people havent bought her up yet...

Nina katoto kangu kasichana 6years,hua nakafundisha kua submissive ili kaje kuolewa maana kasipoolewa nitakua na huzuni sana aisee maana nampenda mno.

I cant imagine as mzazi binti yangu aje kukosa soko,I will die with heart attack and I see with these trends,it is 100% likely!
Daily ninyi ndo huwa kutucrash tu humu ila manyanyaso yenu huwa hamutaoni kabisa aisee. Ila kwa daughters zenu ma ndugu zenu huwa ni malaika. Sisi wengine ni mashetani. Sijawahi elewa kabisa. Munayotusimangia hapa ndo mabinti zenu hayohayo wanayaishi na mnawasupport wasikubali manyanyaso ila sisi wengine tukubali
 
Shida sio ku comprise and no one is perfect ila mtu ulinikuta navaa hivi then ndoani hutaki mara uniambie ninyoe dah huo si utoto Tena una force nivae Madera then unatelekeza familia na kunipiga daily eti vile nimevaa nguo flani halloo hapo no comprise wallah mjadala, pia wanaume design hii ni wanyanyasaji vile mke vizuri bana mbona Kuna wanaume waelewa na hawahamgaiki na wake zao na kutesa ka wa huyo mleta mada. Na ujue naomgea na experience wanaume wasiojiamini ni kero na wakorofi
Na mbaya zaidi ukute ana kibamia.
 
Hello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?

I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.

It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;

1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)

2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'

3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake

4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)

5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia

6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot

7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.

8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)

Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.

Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo

I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.

Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa

But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
Dada Rosiela pole sana, unayopitia sio mepesi. Mungu akuwezeshe kuvuka salama.

Umegusia kwamba ndoa yenu ilikuwa ya kanisani, je? Umewahi kuwashirikisha walezi wenu wa kiroho pamoja na wale walio wasimamia ndoa yenu.

Kabla ya kufanya maamuzi yoyote makubwa tafadhali fuata ushauri hapo juu na kama tayari umewashirikisha waltzing wenu wa kiroho nini ilikuwa hatima yake?
 
Hahahahhahahhahaha bro kwamba nije PM nikuandikie namba ili utume hela ya Hennessy?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mnawapenda hawa ila sisi wanywa Konyagi wenzenu ndo tumebaki.
Tuvumiliane tu!!
Sijui inakuwaje tunaomba samaki na kupewa nyoka, hatuna budi kuvumilia 😜🙈

Hiyo Hennessey ipo, ni juhudi yako tu ufanye ikufikie 😜😜
 
Madamme, i am very weak hasa nimioenda. Lakini kuninyanyasa hisia zangu thats unforgivable. Naweza chelewa kumove on kutokana na upendo ila physically nitaondoka. Siku nikifanikiwa kukutoa moyoni basi hutaamini. Unawezahe kubumilia vipigo? Sababu kubwa inayonifanyaga nichelewe kumove on ni huruma tu kwa nimpendaye nikiamini hakuna atayemuweza kwa madhaifu yake. But siku nikaweza kutokana na tortures zako baasi. Tunaweza kuwa hata friends lkn hisia zinahama milele. Nini kinakufanya ubaki hapo mpaka sasa. Amd uts likely umeolewa na mvulana. Hennessy bosy as usual. Ktk suala la kunipiga hapo ndo patamu, yaani utaipata pata kwanza kutoka kwangu halaf uje familia, ukoo, kuanzia serikali ya kijiji mpk mkoa na nchi. Tungeuana.
 
Sijui inakuwaje tunaomba samaki na kupewa nyoka, hatuna budi kuvumilia 😜🙈

Hiyo Hennessey ipo, ni juhudi yako tu ufanye ikufikie 😜😜
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nyoka oyeèeeeeeeeh.
 
Wala sina kasiriko hata naona tukubali kutokukubaliana tu! Kila mtu ana namna anapenda ishi maana kama hakuna compromising basi kila mtu atabaki single!

What i believe ni kuwa tofauti ndogo tunaweza zisawazisha nobody is perfect tunakutana katika 90% but hii 10% kwanini tusifanye compromising? Tukitaka kusimama na misimamo yetu then we go separate ways! Thats what i mean Cariha.

Sasa kama wewe utakuwa mtu usiyetaka ku compromise hata kidogo utaishi vipi na watu? Mke wangu is rapping ila ana akili na upendo and so generous.., i find her to be an ideal wife! Sipendi anavyogomba gomba ila it doesnt mean hawezi kuwa mke sababu ana qualities almost zote nazotaka! I find way to live with it cause i love her.

Sasa we ukitaka mtu awe perfect match by 100% utamtoa wapi ndugu yangu?

Its so rare to find mtu unayemtaka by 100% awe mrefu, handsome look, six pack, ana hela, ana life good, hachepuki, anakupa hela, haku control and sum like that! Like Yow you gotta be single for life to meet with 1
Hii comment imemaliza kila kitu. Tulale
 
Unajua ni ngumu sana kwa mwanaume kumhandle mwanamke pisi kali, ana akili na anajiweza kiuchumi; wanaume wachache sana ndiyo wamefanikiwa katika hilo. Mimi nachoamini mwanamke yeyote independent especially kifikra sio rahisi kumpelekesha as majority of you hamtaki wanawake wa kuwatii; bali wanawake wa kuwapelekesha; kila kitu ndiyo mzee. Kwenu nyie utii is more of losing your self worth and your sense. As a result wengi wenu mnakuwa insecure; akikosea kidogo tu basi ushaconclude ni kwa sababu ni mzuri na ana kipato; kwani wabaya na wasio na vipato ndiyo wanyenyekevu wote? Wangapi wameoa wanawake wa kawaida kabisa na still ndoa zao zimevunjika? Utii ni tabia ya ndani kabisa ya mtu, regardless of her status. Mama Samia ni Rais, ila you can tell yule mama ni mnyenyekevu tu wa asili.

Mnatukimbilia sisi wenye sura za wajomba, na shape za kina babu + mangumbaru: kwa sababu mnahisi hatuna options nyingine, zaidi ya kuwatii. Ni wale wanawake ambao mnajua hawatongozwi sana, unamfanya utakavyo na yeye hatoondoka kwa sababu hana huwezo wa kujihudumia; in short hatuna options. Hata wanawake wengi wanaonyanyaswa na mnawaita wavumilivu; wengi si wavumilivu kweli kwamba ndiyo asili yao; ni vile hawana pa kwenda, bora tu abaki hapohapo ambako ana uhakika wa kula ugali, ila siku akipata pa kwenda atatoka ndukiii. Utii au uvimilivu wa design hii, ni wa kinafiki na ni wa muda tu. Hakuna raha kama mwanamke anajiweza afu bado anakutii; raha kichizi.

Mume wa huyu dada hajiamini na hamwamini mkewe, anawaza kuchapiwa tu muda wote. Anachokitaka yeye ni kumfubaza mke wake ili asionekane kwa wengine. Bahati mbaya, mzuri ni mzuri tu hata akivaa gunia; chukulia mfano yule muigizaji Batuli, most of times anavaa nguo za heshima and yet wakware udenda unawatoka. Ndiyo huyo bwana anajikuta mara leo nyoa, kesho suka, ooh vaa dera; hivi unalijua trako la ndani ya dera wewe, si bora tu avae vitenge? Na kwa mwanaume asiyejiamini, hata ufanyaje hatokuona mtii. Kila siku anakuja na jipya ana anataka umfuatishe tu kama bendera; yeye mwenyewe hajui hata anachokitaka kwa mkewe afu bado mke amtii aseeeeeee

Mahusiano yoyote kucompromise lazima kuwepo, ili angalau tukutane mahali fulani pazuri. Lakini pia, unapomuhitaji mwenzako abadilike/kupunguza kitu fulani; jua itachukua muda kutokea au penginepo lisitokee kabisa. Imagine mdada ambaye maisha yake yote anavaaga mawigi, leo all of a sudden unamtaka atupe mawigi chini; do you think ni rahisi hivyo? Na ni bora hata sisi huwa tunawasikiliza; jikute sasa unamwambia mume wangu acha kitu fulani au rafiki fulani si mzuri kwako; afu yeye hivyo vitu awe anaviona kwake havina madhara; utajua haujui. So kuna muda tuwape watu nafasi ya kuona mambo kwa jicho tunaloliona sisi, ikishindikana tunajifunza kuwachukulia madhaifu yao as long as hayatuletei madhara. You will never please an insecure person, neverrrr.
Nailed it kipenzi.
You are missed ,though.
 
Unajua ni ngumu sana kwa mwanaume kumhandle mwanamke pisi kali, ana akili na anajiweza kiuchumi; wanaume wachache sana ndiyo wamefanikiwa katika hilo. Mimi nachoamini mwanamke yeyote independent especially kifikra sio rahisi kumpelekesha as majority of you hamtaki wanawake wa kuwatii; bali wanawake wa kuwapelekesha; kila kitu ndiyo mzee. Kwenu nyie utii is more of losing your self worth and your sense. As a result wengi wenu mnakuwa insecure; akikosea kidogo tu basi ushaconclude ni kwa sababu ni mzuri na ana kipato; kwani wabaya na wasio na vipato ndiyo wanyenyekevu wote? Wangapi wameoa wanawake wa kawaida kabisa na still ndoa zao zimevunjika? Utii ni tabia ya ndani kabisa ya mtu, regardless of her status. Mama Samia ni Rais, ila you can tell yule mama ni mnyenyekevu tu wa asili.

Mnatukimbilia sisi wenye sura za wajomba, na shape za kina babu + mangumbaru: kwa sababu mnahisi hatuna options nyingine, zaidi ya kuwatii. Ni wale wanawake ambao mnajua hawatongozwi sana, unamfanya utakavyo na yeye hatoondoka kwa sababu hana huwezo wa kujihudumia; in short hatuna options. Hata wanawake wengi wanaonyanyaswa na mnawaita wavumilivu; wengi si wavumilivu kweli kwamba ndiyo asili yao; ni vile hawana pa kwenda, bora tu abaki hapohapo ambako ana uhakika wa kula ugali, ila siku akipata pa kwenda atatoka ndukiii. Utii au uvimilivu wa design hii, ni wa kinafiki na ni wa muda tu. Hakuna raha kama mwanamke anajiweza afu bado anakutii; raha kichizi.

Mume wa huyu dada hajiamini na hamwamini mkewe, anawaza kuchapiwa tu muda wote. Anachokitaka yeye ni kumfubaza mke wake ili asionekane kwa wengine. Bahati mbaya, mzuri ni mzuri tu hata akivaa gunia; chukulia mfano yule muigizaji Batuli, most of times anavaa nguo za heshima and yet wakware udenda unawatoka. Ndiyo huyo bwana anajikuta mara leo nyoa, kesho suka, ooh vaa dera; hivi unalijua trako la ndani ya dera wewe, si bora tu avae vitenge? Na kwa mwanaume asiyejiamini, hata ufanyaje hatokuona mtii. Kila siku anakuja na jipya ana anataka umfuatishe tu kama bendera; yeye mwenyewe hajui hata anachokitaka kwa mkewe afu bado mke amtii aseeeeeee

Mahusiano yoyote kucompromise lazima kuwepo, ili angalau tukutane mahali fulani pazuri. Lakini pia, unapomuhitaji mwenzako abadilike/kupunguza kitu fulani; jua itachukua muda kutokea au penginepo lisitokee kabisa. Imagine mdada ambaye maisha yake yote anavaaga mawigi, leo all of a sudden unamtaka atupe mawigi chini; do you think ni rahisi hivyo? Na ni bora hata sisi huwa tunawasikiliza; jikute sasa unamwambia mume wangu acha kitu fulani au rafiki fulani si mzuri kwako; afu yeye hivyo vitu awe anaviona kwake havina madhara; utajua haujui. So kuna muda tuwape watu nafasi ya kuona mambo kwa jicho tunaloliona sisi, ikishindikana tunajifunza kuwachukulia madhaifu yao as long as hayatuletei madhara. You will never please an insecure person, neverrrr.
Naomba nije PM nikupe user ID umtumie ex wangu hii comment yako plz[emoji26][emoji26][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom