Am not materialistic but I still can't keep a man

Am not materialistic but I still can't keep a man

Attitude, girl..! work on your attitude.

Really?you think it's my attitude..
Nipe mfano mmoja mshenga,ni wapi humu nilicomment ukaona nina attitude kwasababu inawezekana ni kweli... be honest
 
Asante Dada angu,I have a feeling watu wachache humu wamenielewa including you...
Kuna vitu natakiwa nibadilishe but still I won't accept anything less for the sake of men
Wacha niendelee na maisha yangu love itanikuta mbele ya safari

...sasa juu ya nini unapoteza muda wa watu kuomba ushauri wakati uko 'firm' kwenye msimamo wako ambao dhahiri ndio chanzo cha tatizo lako!
 
I would lov to know what is wrong with me but still going back to my xs and asking them is the last thing I would think of...
I might be successful, educated and everything else but if I get the wrong man in my life everything else will be miserable.. I have not met my man yet

Amost all breakup;each side has a hand on it.If You have broke 5+ times.You have your hand on them.Try to do a research on your contributions that lead to those breakups.You may see similarity in patterns ....

Its not true that whoever man you come accross is weak.No one is perfect".You may be making mistakes unconciouly like overhyping(MMED is still low,we have Dr&prof who can accept challenges&learn from their mistakes....).
ACCEPT CHALLENGES
Start leaning&rectifying from Ur own mistakes&errors.If you have not identified the mistakes you make in loving.EVEN IF YOU GET AN ANGEL/Any man You admire more,He will quit!.
 
Really?you think it's my attitude..
Nipe mfano mmoja mshenga,ni wapi humu nilicomment ukaona nina attitude kwasababu inawezekana ni kweli... be honest


Hapana, sio kwa sababu ya comments zako humu. Umesema hukai na bf mda mrefu na sababu hasa hujazijua. Na mimi nadhani kabisa ujitizame hapo kwenye attitude yako tu..kuna mengi yanahusika hapo. Jiangalie, jitafakari hapo..
Pia impression unayowapa siku za mwanzo, je unajiweka hivyo? Ndivyo ulivyo siku zote? Au baada ya mda unabadilika?
 
...sasa juu ya nini unapoteza muda wa watu kuomba ushauri wakati uko 'firm' kwenye msimamo wako ambao dhahiri ndio chanzo cha tatizo lako!
Nahisi hujaelewa.

Anachosema ni kwamba she needs a man, yes, but sio mwanaume yeyote tu.
 
...sasa juu ya nini unapoteza muda wa watu kuomba ushauri wakati uko 'firm' kwenye msimamo wako ambao dhahiri ndio chanzo cha tatizo lako!


Exactly Riwa. Nani aishi na mtu mwenye misimamo asiyetaka ku "compromise"
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nijaribu kukusaidia
Kuna vitu vinavuomKEEP mwanaume (by the way some years back nilileta uzi wa how some are only attractors and not KEEPERS).
1. Altitute (heshima,usikivu,ucheshi, care etc)
2. Sex (utamu, utundu/ufundi, usafi)
3. Skills (usafi,upishi,motherhood,ushauri wa kimaendeleo etc)
4. Looks (usafi, kile ulichomvutia siku ya kwanza)

Sasa kuna vitu tumezaliwa navyo na kuna vitu twaweza jifunza au kujiboresha. Unaweza usiwe say 'mtamu' lkn ukawa mbunifu na mshauri ktk biashara/maendeleo na say una heshima. Kwa maneno mengine unatakiwa uoneshe kwa matendo na tabia jinsi gani atapoteza kama atakupoteza wewe. I mean aone gap lako. Sasa it is okay kusema you are fine the way you are and let no one change you; but again ni wewe ambaye unapata shida ya kushindwa kumkeep mpenzi so take a very good look of yourself halafu ona wapi unaweza kubadilika. Kuwa mnyenyekevu kidogo haimaanishi wewe ni weak. Kwa sisi wakristu Bwana wetu alishuka kutoka kwenye utukufu hadi kifo cha msalaba. So sio siku zote kushuka ni kupoteza elimu yako.

Asante...toka mwanzo nimekuelewa,ila kila kitu kina limit yake, kuna mambo nitayafanyia kazi
 
Hahaaaaa. Haya we. Afu nikikuita kwenye sredi zangu unanipotezea eeeeh?

Nisamehe bure, yaani mara nyingi natumia simu na old version ya JF mobile so sioni notifications. So nikija tumia laptop basi kila kitu kinakuwa outdated. Nitakupm my number atleast utanistua kwa watsup au text
 
...sasa juu ya nini unapoteza muda wa watu kuomba ushauri wakati uko 'firm' kwenye msimamo wako ambao dhahiri ndio chanzo cha tatizo lako!

Hata mimi nimeshangaa.....
 
Nisamehe bure, yaani mara nyingi natumia simu na old version ya JF mobile so sioni notifications. So nikija tumia laptop basi kila kitu kinakuwa outdated. Nitakupm my number atleast utanistua kwa watsup au text

Na mimi tafazali....
 
Yuko desperate: umri umeenda(29+), ana/anatarajia kupata MD,yuko financially stable, ....hizi ni viungo murua kwa mwanamke kubakia single, single girl sensu KLyin

Haha,is it a crime ukiwa 29+,financially stable and single???
Kuna shida gani hebu niambie mkuu
 
Nisamehe bure, yaani mara nyingi natumia simu na old version ya JF mobile so sioni notifications. So nikija tumia laptop basi kila kitu kinakuwa outdated. Nitakupm my number atleast utanistua kwa watsup au text

I understand honey no qualms about it. Simu miyeyusho sana sometimes.
 
Thought i'm alone with relationships problems.
You don't have any problem, you've had had enough time for yourself.
Work on your drawback hindering you from keeping your man.
 
"Head is Always High and I accept Nothing Less"-Brenda18

Yaani una change from being "normal" coz tu una elimu?Una raise head high so what?Ili iweje sasa?Hiyo ni sort ya intimidation...just be normal,be a person,live kawaida,no one is fronting on what u have..there kuna tatizo

Nimekuwa najikuta hivyo it has nothing to do with education...
Hakuna mtu huwa ananielewa mwanzoni lakini baadae wananizoea...head high in my problems and such things simaanishi dharau labda ume misinterprete
 
Back
Top Bottom