miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
brenda18 bado una muda wa kupata mwenza hiyo ya kuzaa mtoto embu fanya kama last option.... muhimu usiwe mtu wa kudefence sana like atanicheat any time.... wewe jiachie uwezavyo ukiona hapa umeingia chaka fanya maamuzi ya haraka ya kustep out... be a lady or laddish characters wanaume wanapenda dont be like them.... halafu pia usionyeshe kwamaba unauhitaji wa ndoa.. ndoa iwe kitu kije chenyewe .. ukiweka ndoa mbele lazima utaona hakuna mwanaume anayeweza kukuhandle just have funny ndoa itakuja...
halafu nikupe siri wanawake wanaokomolia mahusiano yaishie kwenye ndoa asilimia kubwa hawaolewi why mnajisahahu na kuanza kumcntrol mwanaume na faking nyingi sana na ukiolewa utakuja gundua umeolewa na wrong person utajutaje mamy.....
halafu nikupe siri wanawake wanaokomolia mahusiano yaishie kwenye ndoa asilimia kubwa hawaolewi why mnajisahahu na kuanza kumcntrol mwanaume na faking nyingi sana na ukiolewa utakuja gundua umeolewa na wrong person utajutaje mamy.....
Last edited by a moderator: