Am really tired to be alone

Siwezi kumkosoa Mungu, naweza hitaji mwenye vigezo lakini hasiwe baraka katika ndoa, afterall hakuna binadamu aliyekamilika ila wote ni sawa mbele za Mungu,
Great...on ma way to pm[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Pole sana mkuu,.. Ila usikatishwe tamaa na wanawake wa umu kama wakikupa negative wengi umu ni vijeba,..wengin vijakazi,..ila usiwe mpweke mkuu,binadamu hajaumbwa kua mpweke,you deserve to be happy, kwa iyo usichoke,kila la heri,.. Mungu akupe haja la moyo wako,
 
Ahsante sana mkuu kwa maneno yako ya faraja na yenye kutia moyo, BE BLESSED
 
Hahaa umekumbuka nini??
Cc Inna
Nikiwa form. two alitokea mwenzetu mmoja alipata kibendi, sasa nikawa nasikia form wakiwa wanatamka hilo neno ila sikujua maana yake mpaka pale ailipofukuzwa shule kwa ujauzito ndio nikajua kibendi ni kitu gani
 
Vijana wa siku hizi bwana, nyie wa kiume mnatafuta wa kike na wa kike nao wanatafuta wa kiume na wote mko hapahapa JF, kwanini mnashindwa kuwasiliana!
 
 
Hahahahaha haya kina miss natafuta na wengineo jitokezeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…