Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Sasa nashida gani wakat nipo na ww mbilikimo mwenzanguhataki mbilikimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nashida gani wakat nipo na ww mbilikimo mwenzanguhataki mbilikimo.
TayarHahaha me naanda zawadi ya bi harusi! Si umeshaenda PM yake ee?
brain is the beautiful part of the body.
Tayar
Great...on ma way to pm[emoji124] [emoji124] [emoji124]Siwezi kumkosoa Mungu, naweza hitaji mwenye vigezo lakini hasiwe baraka katika ndoa, afterall hakuna binadamu aliyekamilika ila wote ni sawa mbele za Mungu,
Usisahau kumwambi kuwa hicho kibendi cha nani.Great...on ma way to pm[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hahahaaaa we mbilikimo nmekushindwaaaaUsisahau kumwambi kuwa hicho kibendi cha nani.
Kunitangazia ndoa hutangazi alafu unataka nikose mume huku jf khaaaUsisahau kumwambi kuwa hicho kibendi cha nani.
Ahsante sana mkuu kwa maneno yako ya faraja na yenye kutia moyo, BE BLESSEDPole sana mkuu,.. Ila usikatishwe tamaa na wanawake wa umu kama wakikupa negative wengi umu ni vijeba,..wengin vijakazi,..ila usiwe mpweke mkuu,binadamu hajaumbwa kua mpweke,you deserve to be happy, kwa iyo usichoke,kila la heri,.. Mungu akupe haja la moyo wako,
Ahsante sana mkuu kwa maneno yako ya faraja na yenye kutia moyo, BE BLESSED
Hahaa umekumbuka nini??Hahahaha unamruhusu huku roho inauma ee, eti kibendi nimesikia hivyo nikakumbuka mbali sana
HeheheUsisahau kumwambi kuwa hicho kibendi cha nani.
Iam Tanzaniam male with 30 years, am here looking for a soul mate, a girl with matured age na anayejua what is life, ata hasipokuwa na kazi ili mradi awe serious naimani tukiwa wawili maisha yataenda. Mie ni mrefu maji ya kunde, tafadhali sipo kwa ajili ya kutafuta msichana anayejiuza bali wa kuishi nae kama ikimpendeza Mungu, kama unakuja kwa nia tofauti naomba usisumbue muda wako
Jamaa yaonesha yuko desperate sana, nafikiri kigezo uwe mwanamke tu!Huna vigezo?