Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Katika jambo linalonishangaza na bado sipati jibu ni wakenya kuwa very comfortable na kutoijua lugha yao ya taifa, lakini kuwa very uncomfortable kwa kutojua kiingereza, naomba mnieleweshe kinachoendelea
Been chatting alot with overseas people mpaka nimesynchronize my dialects na zao.....
Am shook is indeed correct
Sent using Jamii Forums mobile app
Typical Tanzanian misconception of Kenya.Katika jambo linalonishangaza na bado sipati jibu ni wakenya kuwa very comfortable na kutoijua lugha yao ya taifa, lakini kuwa very uncomfortable kwa kutojua kiingereza, naomba mnieleweshe kinachoendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
muulize mleta mada,kulikuwa na haja gani ya kuitaja tanzania kwenye heading ya thread yake?.ndugu zangu waTZ, beef ni ya nini mnayo hivi na Kenya?
Hizo salamu za mzunguko ni za wazazi wetu enzi za ujima..... La kumkanganya mKenya ni kasi na rafizi ya mBongo anpofungua mdomo, maneno mengi na ya mzunguko; mfano, Kenya salamu ni 'Habari yako - Mzuri' bas, Bongo 'Habari za Mda, Kwema, Mzima, Pole kw kazi, Upo' yote hayo na nikupita mnapitana barabarani.
So ndugu zangu waTZ, beef ni ya nini mnayo hivi na Kenya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Twende taratibu kijana, utanielewa tu lengo langu, ni ukweli kwamba wakenya wengi hasa serikalini hawako comfortable kabisa kujieleza kwa ufasaha kwa kiswahili, hata Uhuru Kenyata mwenyewe, hawezi kujieleza kwa ufasaha kwa kiswahili kama afanyavyo kwa kiingereza.Typical Tanzanian misconception of Kenya.
Aliyekwambia waKenya hawajui Kiswahili alikudanganya. Kiswahili ndio lugha inayotumika kwa kawaida. Nairobi, hasaa mitaa ya Eastlando, imetupatia Sheng' mchanganyiko wa Kiswahili, Kiingereza na lugha zinginezo za mama. Kiswahili cha bongo hakijaongezea kwa lugha hii labda kuyatamka maneno kwa kuyalegeza legeza na kuyatafuna; mfano, Salama ikawa kati ya Sarama na Sayama, Barabara ikawa baabaa. Lexicographicide I'd say!
Ningependa kuona mKenya anayehitaji msaada wa kutafsiriwa huku bongo. La kumkanganya mKenya ni kasi na rafizi ya mBongo anpofungua mdomo, maneno mengi na ya mzunguko; mfano, Kenya salamu ni 'Habari yako - Mzuri' bas, Bongo 'Habari za Mda, Kwema, Mzima, Pole kw kazi, Upo' yote hayo na nikupita mnapitana barabarani.
So ndugu zangu waTZ, beef ni ya nini mnayo hivi na Kenya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani msikubaliane kwamba lugha rasmi ya taifa lenu ni kiingereza na kiswahili kiwe ni lugha ya pili ieleweke wazi, inaonekana kama mnajilazimisha kukifanya kiswahili iwe lugha ya taifa lakini moyoni hamkikubali, hamkipendi matokeo yake kinawasumbua sana, naomba mnifafanulia bila ushabiki.Twende taratibu kijana, utanielewa tu lengo langu, ni ukweli kwamba wakenya wengi hasa serikalini hawako comfortable kabisa kujieleza kwa ufasaha kwa kiswahili, hata Uhuru Kenyata mwenyewe, hawezi kujieleza kwa ufasaha kwa kiswahili kama afanyavyo kwa kiingereza.
Jambo linalonishangaza zaidi ni kuona shughuli zote za kitaifa, kama vile vikao vya bunge, mahakamani na hata hutuba karibu zote za kitaifa zinafanywa kwa kiingereza wakati lugha rasmi ya Kenya ni kiswahili, mbona mnajichanganya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumezoea i am shaken.
Been chatting alot with overseas people mpaka nimesynchronize my dialects na zao.....
Am shook is indeed correct
Sent using Jamii Forums mobile app
Twende taratibu kijana, utanielewa tu lengo langu, ni ukweli kwamba wakenya wengi hasa serikalini hawako comfortable kabisa kujieleza kwa ufasaha kwa kiswahili, hata Uhuru Kenyata mwenyewe, hawezi kujieleza kwa ufasaha kwa kiswahili kama afanyavyo kwa kiingereza.
Jambo linalonishangaza zaidi ni kuona shughuli zote za kitaifa, kama vile vikao vya bunge, mahakamani na hata hutuba karibu zote za kitaifa zinafanywa kwa kiingereza wakati lugha rasmi ya Kenya ni kiswahili, mbona mnajichanganya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vely shook indeed
Been chatting alot with overseas people mpaka nimesynchronize my dialects na zao.....
Am shook is indeed correct
Sent using Jamii Forums mobile app
lugha ya taifa la Kenya rasmi ni Kiswahili, hii huitaji kuangalia kwenye wiki pedia, kama ambavyo ukiulizwa rangi ya ngozi ya wakenya ni ipi, utasema ni nyeusi...according to wikipedia?...watakucheka watu, japo watu wenye rangi tofauti kama wahindi, wazungu na wengine wengi, iOfficial languages of Kenya are English and Kiswahili...according to Wikipedia...
Daima MTUMWA HAACHI KUMWONA BWANA WAKE NI BORA KULIKO YEYE. WANABABAIKIA UZUNGU.Twende taratibu kijana, utanielewa tu lengo langu, ni ukweli kwamba wakenya wengi hasa serikalini hawako comfortable kabisa kujieleza kwa ufasaha kwa kiswahili, hata Uhuru Kenyata mwenyewe, hawezi kujieleza kwa ufasaha kwa kiswahili kama afanyavyo kwa kiingereza.
Jambo linalonishangaza zaidi ni kuona shughuli zote za kitaifa, kama vile vikao vya bunge, mahakamani na hata hutuba karibu zote za kitaifa zinafanywa kwa kiingereza wakati lugha rasmi ya Kenya ni kiswahili, mbona mnajichanganya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Boss...whatever...lugha ya taifa la Kenya rasmi ni Kiswahili, hii huitaji kuangalia kwenye wiki pedia, kama ambavyo ukiulizwa rangi ya ngozi ya wakenya ni ipi, utasema ni nyeusi...according to wikipedia?...watakucheka watu, japo watu wenye rangi tofauti kama wahindi, wazungu na wengine wengi, i
Sent using Jamii Forums mobile app