Am shook: for Tanzanians who dont understand simple lingua

Am shook: for Tanzanians who dont understand simple lingua

Kwani sio wewe uliyesema hatufai kutumia dollars kwa kisingizio cha kua shillingi ya tz na ke ina mapungufu....mbona unaruka mchana peupe?umeingiza mpaka zimbabwe mahali kama sijakosea
saadeque, tulia uwe unasoma mukhtadha mzima wa habari yenyewe ujue nilitaja hao kwa lengo gani, huyo MK254 niliyemjibu wmeelewa vizuri tu, na unamuona hata Tony254 alivyo uliza swali lake baada ya kuelewa nilichokuwa ninakimaanisha, bado hujaelewa kabisa, kwa kifupi sana nitakueleza lengo langu kwa MK254

Yeye alijibu kwamba sababu za Kenya kutumia zaidi kiingereza kuliko kiswahili ni kwa sababu Kiswahili kina mapungufu mengi sana kuliko kiingereza, pamoja na kwamba Kiswahili ndiyo lugha rasmi ya taifa la Kenya lakini inamapungufu mengi kwa hiyo wameamua kutumia kizungu.

Baada ya jibu hilo ndiyo nikamjibu kwa kumpa mfano kwamba, japo pesa zetu hizi za Kenya na Tanzania kuwa na mapungufu dhidi ya dollar ya Marekani, lakini sio busara kuacha kutumia pesa zetu na kuruhusu matumizi ya pesa za kigeni, hicho ndicho nilichotaka kukisema, wewe umeelewa nje kabisa ya lengo langu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
saadeque, tulia uwe unasoma mukhtadha mzima wa habari yenyewe ujue nilitaja hao kwa lengo gani, huyo MK254 niliyemjibu wmeelewa vizuri tu, na unamuona hata Tony254 alivyo uliza swali lake baada ya kuelewa nilichokuwa ninakimaanisha, bado hujaelewa kabisa, kwa kifupi sana nitakueleza lengo langu kwa MK254

Yeye alijibu kwamba sababu za Kenya kutumia zaidi kiingereza kuliko kiswahili ni kwa sababu Kiswahili kina mapungufu mengi sana kuliko kiingereza, pamoja na kwamba Kiswahili ndiyo lugha rasmi ya taifa la Kenya lakini inamapungufu mengi kwa hiyo wameamua kutumia kizungu.

Baada ya jibu hilo ndiyo nikamjibu kwa kumpa mfano kwamba, japo pesa zetu hizi za Kenya na Tanzania kuwa na mapungufu dhidi ya dollar ya Marekani, lakini sio busara kuacha kutumia pesa zetu na kuruhusu matumizi ya pesa za kigeni, hicho ndicho nilichotaka kukisema, wewe umeelewa nje kabisa ya lengo langu

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay......guess nlkuelewa vibaya
 
Uganda’s 2nd Deputy Prime Minister, Minister of EAC Affairs and Chairperson of the EAC Council of Ministers, Rt Hon. Kirunda Ali Kivejinja, has reiterated the need for Kiswahili to be mass oriented and used as a tool for integrating the people of East Africa.

Rt Hon. Kivejinja said that it is only through the use of Kiswahili as a tool for integration that the region shall achieve the provision of Article 137 (2) of the Treaty for the Establishment of the EAC, that provides for... Continue reading

....

The Vice President of the United Republic of Tanzania, H.E. Samila Suluhu Hassan, has underscored the importance of the Kiswahili language in promoting development and regional integration in East Africa.

Ms. Hassan said Kiswahili has immense potential to unite the people of East Africa and should therefore be embraced by all East Africans as the lingua franca of the region, adding that the language could be an important tool in the pursuit of economic and social development in the... Continue reading



ION, you're speaking Ebonics, not English.
 
saadeque, tulia uwe unasoma mukhtadha mzima wa habari yenyewe ujue nilitaja hao kwa lengo gani, huyo MK254 niliyemjibu wmeelewa vizuri tu, na unamuona hata Tony254 alivyo uliza swali lake baada ya kuelewa nilichokuwa ninakimaanisha, bado hujaelewa kabisa, kwa kifupi sana nitakueleza lengo langu kwa MK254

Yeye alijibu kwamba sababu za Kenya kutumia zaidi kiingereza kuliko kiswahili ni kwa sababu Kiswahili kina mapungufu mengi sana kuliko kiingereza, pamoja na kwamba Kiswahili ndiyo lugha rasmi ya taifa la Kenya lakini inamapungufu mengi kwa hiyo wameamua kutumia kizungu.

Baada ya jibu hilo ndiyo nikamjibu kwa kumpa mfano kwamba, japo pesa zetu hizi za Kenya na Tanzania kuwa na mapungufu dhidi ya dollar ya Marekani, lakini sio busara kuacha kutumia pesa zetu na kuruhusu matumizi ya pesa za kigeni, hicho ndicho nilichotaka kukisema, wewe umeelewa nje kabisa ya lengo langu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jambo moja ningependa kukueleza. Kila nchi ina tamaduni na historia tofauti. Tanzania mnaongea kiswahili kizuri kwa sababu Waingereza hawakutia maanani nchi ya T.Z upande wa maendeleo walipowafukuza Wajerumani.
Kenya tunakifahamu Kiingereza kwa sababu Waingereza walitia kambi hapa kutoka mwaka wa 1896 hadi 1963.
Miezi mitatu iliyopita nilikuwa Ethiopia upande wa Hawassa na Adiss Ababa na nilishangazwa na mambo mengi. Kwanza hawakifahamu Kizungu wala Kiswahili. Jambo hili lilinikera sana kwani nilishindwa kuwasiliana nao. Kwa bahati nzuri ndani ya basi nililokuwa nasafiri,nilipata marafiki wa asili ya South Sudan ambao walilielewa lugha ya Amharic. Hao ndio walinisaidia kwa siku tatu kuwasiliana na wenyeji wakati wa kununua chakula mkahawani au kulipia chumba cha kulala usiku. Wahabeshi wanatumia Amharic hata kwa mashule na kwa mabango ya kibiashara. Kwa mfano unapotaka kuelelea chooni, maandishi ni ya Amharic, Salon au cyber cafe maandishi yenyewe yameandikwa kwa lugha ya Amharic ambayo kidogo inafanana na kiarabu. Yaani script language. Lakini nilielezwa kuwa Wahabeshi hawaielewi lugha nyingine kwa sababu hawakutawaliwa na wabeberu. Hapo hapo nikaanza kuwapenda na kwa kiasi fulani nikahisi vibaya kwamba sikifahamu lugha yangu ya asili kama Wahabeshi lakini nikajiliwaza kuwa kila nchi ina utofauti wake na ni upuuzi kutegemea kuwa nchi zote duniani zitakuwa sawa. Nchi zote lazima zitofautiane ndio maisha iwe na utamu fulani. Nawasilisha.
 
Kuna jambo moja ningependa kukueleza. Kila nchi ina tamaduni na historia tofauti. Tanzania mnaongea kiswahili kizuri kwa sababu Waingereza hawakutia maanani nchi ya T.Z upande wa maendeleo walipowafukuza Wajerumani.
Kenya tunakifahamu Kiingereza kwa sababu Waingereza walitia kambi hapa kutoka mwaka wa 1896 hadi 1963.
Miezi mitatu iliyopita nilikuwa Ethiopia upande wa Hawassa na Adiss Ababa na nilishangazwa na mambo mengi. Kwanza hawakifahamu Kizungu wala Kiswahili. Jambo hili lilinikera sana kwani nilishindwa kuwasiliana nao. Kwa bahati nzuri ndani ya basi nililokuwa nasafiri,nilipata marafiki wa asili ya South Sudan ambao walilielewa lugha ya Amharic. Hao ndio walinisaidia kwa siku tatu kuwasiliana na wenyeji wakati wa kununua chakula mkahawani au kulipia chumba cha kulala usiku. Wahabeshi wanatumia Amharic hata kwa mashule na kwa mabango ya kibiashara. Kwa mfano unapotaka kuelelea chooni, maandishi ni ya Amharic, Salon au cyber cafe maandishi yenyewe yameandikwa kwa lugha ya Amharic ambayo kidogo inafanana na kiarabu. Yaani script language. Lakini nilielezwa kuwa Wahabeshi hawaielewi lugha nyingine kwa sababu hawakutawaliwa na wabeberu. Hapo hapo nikaanza kuwapenda na kwa kiasi fulani nikahisi vibaya kwamba sikifahamu lugha yangu ya asili kama Wahabeshi lakini nikajiliwaza kuwa kila nchi ina utofauti wake na ni upuuzi kutegemea kuwa nchi zote duniani zitakuwa sawa. Nchi zote lazima zitofautiane ndio maisha iwe na utamu fulani. Nawasilisha.
Asante sana Tony 254 kwa uchambuzi wako mzuri sana, nianze na hili jambo la waingereza kutoiendeleza Tanzania kama walivyofanya huko Kenya, ninakubaliana na wewe ki msingi wa maendeleo, lakini kumbuka kwamba, wakoloni wote duniani waliacha athari chanya na hasi popote pale walipotawala duniani, miongoni mwa athari hasi ni kuzipuuza mila na desturi zetu kuziita ni za kishenzi na kutuletea tamaduni zao zikiwemu lugha, dini, na kadhalika.

Tulipowafukuza wakoloni ilikuwa ni jukumu la waafrika wenyewe kuchambua yale mazuri waliyotuachia na kuyaendeleza na kuachana na yale tunayodhani hayakutusaidiana, kwa mfano walitumia vigezo vya ubaguzi wa rangi, ili watu wajigawe kwenye makundi hayo, walitumia vigezo vya tofauti ya elimu au kipato, ili tofauti hiyo itumike kuwagawa wa Afrika, walitumia makabila waliyoyakuta kama mtaji wa kumfanya mtutsi ajione bora kuliko mhutu japo lugha yao ni moja, pia walitumia lugha ili tusiweze kusikilizana, waliwafundisha watu wachache sana lugha zao, na wale waliozifahamu hizo lugha zao, kama kiingereza, kifaransa, kireno na kihispania, waliwafanya kuwa viongozi wa wale waafrika wengine, hivyo yeyote aliyekuwa anajua kuzungumza hizo lugha za wakoloni alijiona bora mbele ya waafrika wengine, na jamii nyingi zililikubali hilo, na hadi leo mtazamo huo bado upo katika jamii zetu nyingi.

Nchi zetu nyingi zilifanikiwa kuona tatizo kubwa ilikua ni rangi ya ngozi, kwa hiyo walipoondoka watu weupe hatukuzingatia kuchambua athari hasi ili tuachane nazo, tulipokea karibu yote waliyotuachia tukayarithisha kwa viongozi wetu weusi waendelee nayo, tulidhani uhuru wa kweli ni kuwa na mtu mweusi pale ikulu basi inatosha

Viongozi wengine waliliona mapema, mara tu baada ya uhuru walikaa chini na kutafuta mwelekeo mpya wa jamii zao na kuona lipi waendelee nalo na lipi waachane nalo kati waliyorithi toka kwa mkoloni, mathalani Nyerere yeye aligeuka nyuma na kujifunza ni maisha gani waafrika wa Tanganyika walikua wakiishi kabla ya kuja kwa ukoloni, akagundua kuwa wengi walikua wakiishi maisha ya Ujima, katika vijiji vidogo vidogo vya kiukoo wakilima na kuwinda pamoja, na kugawana hicho kidogo wakipatacho kwa uwiano wa usawa, yeye akaona lilikua jambo zuri akasema tuboreshe kidogo maisha ya ujima akayaita UJAMAA. Lakini aligundua kwamba kitu kikubwa kilichowafanya watawaliwe kwa urahisi na mzungu ni kwa sababu waliendekeza sana makabila yao, wakisikia kabila fulani kule wanakamatwa na waarabu kama watumwa, majirani zao walikaa kimya, au hata waliwasaidia wakoloni ili wawamalize kabisa hilo kabila lengine kwa sababu walichukia hilo kabila zaidi ya walivyowachukia wakoloni, nyerere alipogundua jinsi ukabila ulivyodhohofisha ujima, akavunjilia mbali nguvu za ukabila, kwa hiyo kwa kifupi(UJAMAA=Ujima-ukabila), alifanya hivyo hivyo kwenye mambo mengi likiwemo hili la lugha ya kiingereza.

Tanzania na Kenya zinabahati kubwa ya kuwa na lugha isiyokuwa na mwenyewe, lugha ya Kiswahili haina kabila maalumu ambapo ilikuwa rahisi sana kwa Nyerere kuichukua na kuifanya lugha ya Taifa kwa sababu kila kabila liliikubali haraka sana, kumbuka makabila mengi yalikua yanaishi kwa uhasama, isingekuwa rahisi kumuambia msukuma ajifunze kichaga kwa sababu ni lugha ya taifa. Ethiopia haikupata bahati hiyo, baada ya kuwashinda waitaliano, mfalme wao alikuwa ni mhamuara, akaifanya lugha ya kabila lake ndiyo iwe lugha ya taifa, jambo ambalo linapingwa hadi leo na whoromo walio wengi na wa Tigry ambao wanashikilia nafasi za juu serikalini.

Naomba kuwakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kiswahili ni lugha yetu rasmi, lugha ya taifa tena ambayo imetajwa kwenye katiba kabisa, lakini hata hivyo ni lugha yenye mapungufu, ni vigumu kujieleza kwa kutumia Kiswahili mwanzo hadi mwisho bila kuchakachua. Hata hiyo Tanzania bado mna vitu vingi sana vimeandikwa kwa lugha ya Kingereza, japo mnajitahidi kuegemea upande wa Kiswahili.

Nimekua hapo Dar es Salaam, nilikuja kuwasilisha ombi (proposal) kwa ajili ya mradi fulani. Sasa juzi nilipoitwa tukaja na wezangu kujieleza, aisei nilishangaa mahojiano yalikua kwenye lugha ya kingereza, dodoso zote ilibidi tujaze kwenye hiyo lugha kwa kwenda mbele.

Mwanzo nilikua nimejiandaa kujieleza kwa kiswahili japo shughuli yenyewe (monitoring & evaluation) ina misamiati ambayo tafsiri yake kwa kiswahili ni balaa. Hapa tu baadhi ya misamiati ambayo ilinipa shida kuweka kwa Kiswahili, Baseline assessment, Bias, Conceptual Framework, Cost-Benefit Analysis, Cost-Effectiveness Analysis, Triangulation, DOPA Indicators, Efficacy, Exogenous Indicator, Formative Research, Hawthorne Effect

Nilifurahi pale jamaa waling'ang'ania kwamba tufanye yote kwa Kingereza, na ndivyo ilikua hata kwa washindani wetu.
Inawezekana kabisa kujieleza kutumia kiswahili mwanzo mwisho bila kuchakachua! Tatizo ni kuwa, kuna maneno mengine hatuyatumii sana ndo maana hatujui yanaitwaje kwa kiswahili hivyo tunajikuta tunalazimika kutumia maneno ya kiingereza!

Kwa mfano, neno ATM ambalo ni la kiingereza ni jepesi zaidi kuliita badala ya neno KIOTOMELA ambacho ndicho kiswahili sahihi! Hii ndo maana wengi hujikuta tunachanganya na English!


Lakini pia, maaana za maneno mengi ya kitaalam hazifaamiki sana kwa sababu hazitumiki sana kwenye maongezi ya kila siku, ndo maana wengi hufikiri hazipo! Lakini maneno hayo yapo vizuri kabisa! Hakuna neno ambalo halina maana kwa kiswahili!

Nikushauri mda mwingine ukiwa na masuala kama hayo nenda BAKITA (baraza la kiswahili) watakupokea kwa bashasha na kukusaidia kutafsiri maneno hayo!


Nimalizie kwa kusema kuwa, kama ilivyo kenya kuwa kuna lugha mbili kuu, vivyo hivyo kwa Tanzania! Tofauti ni kuwa Kenya wanatumia kiingereza zaidi kwenye maeneo ya kazi, mahakama na bunge huku Tanzania ikitumia kiswahili kwenye maeneo kama hayo!
 
Katika jambo linalonishangaza na bado sipati jibu ni wakenya kuwa very comfortable na kutoijua lugha yao ya taifa, lakini kuwa very uncomfortable kwa kutojua kiingereza, naomba mnieleweshe kinachoendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua lugha yako ya mama??

Mimi najua kikisii na ki luhya naskia kikuyu na Kijaka(luo) na kimasai ila siwezi ongea na naongea kiswahili ya darasa....ambayo nlipata B+ kcse kidato cha nne


Wewe apart from kiswahili wajua nini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua lugha yako ya mama??

Mimi najua kikisii na ki luhya naskia kikuyu na Kijaka(luo) na kimasai ila siwezi ongea na naongea kiswahili ya darasa....ambayo nlipata B+ kcse kidato cha nne


Wewe apart from kiswahili wajua nini??

Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali yako tu mtu anaweza kujua uwezo wako, au attitude yako kiurahisi sana, lengo la swali lako hili ninini haswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejieleza vizuri sana, kama ambavyo pesa zetu, yaani shilingi ya Kenya na ile ya Tanzania zilivyo na mapungufu mbele ya dolla ya Kimarekani, katika mazingira maalumu tu, ndiyo inapaswa kufanya miamala yetu kwa kutumia pesa nyingine, hasa miamala ya kiserikali, kwa mfano, haiwezikani wizara, au hata wewe mwenyewe nyumbani kwako na familia yako upange bajeti yenu kwa kutumia dola ya marekani...sukari kilogram moja dola ngapi?, unamuuliza mwanao, hivi utaeleweka kweli?.
Tatizo linakuwa kubwa zaidi pale wizara za serikali zinapotumia dollar kwa matumizi yake ya manunuzi ya ndani ya nchi kwa kisingizio kwamba shilingi zetu zina mapungufu, ama zinashuka dhamani kwa haraka sana, au kwa sababu yoyote ile, serikali ikiamua kufanya hivyo inajimaliza yenyewe kwa kuidhohofisha pesa yake yenyewe na wananchi kutoithamini pesa yao hivyo kuongezeka kwa matumizi ya pesa za nje kuliko ile ya ndani. inakubalika kupanga bajeti kwa kutumia pesa za nje katika baadhi ya miradi, hasa inayohusisha nchi za nje, kama vile miradi inayofadhiliwa na wahisani wa nje na mingineyo michache.

Lugha ya kiswahili inajitosheleza kwa zaidi ya 99%, kuendesha shughuli za ndani zote za kiserikali, kama mahakamani, bungeni na hutuba za viongozi kuwahutubia wananchi, kuendesha ibada na mambo yote ya ndani ya nchi, kama tufanyavyo Tanzania, ila katika mambo ya kitaalamu ni kweli kuna mapungufu, japo sio mapungufu ya maneno ila bado maneno ya kitaalamu mengi hayajulikani kwa watu, hivyo haileti maana kuyatumia iwapo yatashindwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.

Serikali yoyote ile inajukumu la kuilinda pesa yake na kusisitiza matumizi ya pesa yake kwa matumizi ya ndani kwa kuonyesha mfano kwa wananchi wake, kwa kufanya miamala yake kwa kutumia pesa yake, sio kwa kusema tu kwamba pesa ya nchi yetu rasmi ni Shilingi lakini yenyewe inalipa mishaara ya wafanyakazi wake interms of $, ndivyo inavyofanya serikali ya Kenya kwenye suala la Lugha, inajinasibu kwamba lugha ya taifa ni kiswahili, lakini shughuli zote za serikali zinaendeshwa kwa kiingereza, matokeo yake Kiswahili Kenya kinazidi kupoteza thamani yake kama vile Dollar ya Zimbabwe inavyopoteza thamani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuweza kuuza na kununua ....wakenya wengi hawaongei kiswahilu bali sheng'....ma english

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa lugha ya mama yangu inauza na kununua nini?, Kiswahili sawa kinauza na kununua, Kiingereza sawa kinauza na kununua, lugha ya mama yangu inauza nini wakati shughuli zote za kitaifa na biashara tunatumia kiswahili nchi nzima?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiswahili ni lugha ya taifa Kenya...Kiingreza ni lugha rasmi...ni vzr kuelewa lugha zote mbili...ila mtz hata sentensi moja ya kiingereza hawezi....wanajifanya mabingwa wa Kiswahili ila hawawezi hata wakatofautisha kati ya R na L...kila nikimsikia mbongo akizungumza yaani huwa nacheka sana haswa akijaribu kuzungumza Kimombo...
 
Hizo salamu za mzunguko ni za wazazi wetu enzi za ujima.

Wewe ndiyo umeleta mzunguko.

Hiyo sentensi "Beef ni ya nini mnayo hivi na kenya" ni mzunguko mno na hauna maana kisemantiki, ungeandika tu "Mna ugomvi gani na Kenya?"
tofauti ya beef na ugomvi nini? huna akili ww
 
Back
Top Bottom