QUALIFIED BIOLOGY TEACHER
Member
- Oct 27, 2024
- 33
- 277
shakespeare anasema hivi katika kitabu mchezo wa McBeth:Tumemaliza ibada ya kumuaga rafiki yangu kipenzi, jamaa kamaliza MD moja ya chuo kikuu hapa jijini, kaja mtaani wakati anasubiria ajiri, akaamua ajishikize kwenye Bajajo, Jana saa moja usiku kwa bahati mbaya akapata ajali baada ya bajaji yake kugongana na coaster.
Mwamba akalaa mazima. Ooh maisha nini ni sasa? Harakati zote na ndoto zote zimekwisha. Its too sad indeed.
poleni mkuu. tuwekeze kujua ni nini kitafuata baada ya maisha haya. Maisha haya ni mafupi sana hata kwa aliyefikisha miaka 80 ama 90 bado anaona angeendelea kuishiTumemaliza ibada ya kumuaga rafiki yangu kipenzi, jamaa kamaliza MD moja ya chuo kikuu hapa jijini, kaja mtaani wakati anasubiria ajiri, akaamua ajishikize kwenye Bajajo, Jana saa moja usiku kwa bahati mbaya akapata ajali baada ya bajaji yake kugongana na coaster.
Mwamba akalaa mazima. Ooh maisha nini ni sasa? Harakati zote na ndoto zote zimekwisha. Its too sad indeed.
Yan umemaliza MD unaamua kujishikiza kwenye bajaji?Tumemaliza ibada ya kumuaga rafiki yangu kipenzi, jamaa kamaliza MD moja ya chuo kikuu hapa jijini, kaja mtaani wakati anasubiria ajiri, akaamua ajishikize kwenye Bajajo, Jana saa moja usiku kwa bahati mbaya akapata ajali baada ya bajaji yake kugongana na coaster.
Mwamba akalaa mazima. Ooh maisha nini ni sasa? Harakati zote na ndoto zote zimekwisha. Its too sad indeed.
Tuna la kujifunza sana mkuu,muhimu kuliko yote ni kujikabidhi kwa MUNGU na kutenda yaliyo mema.Tumemaliza ibada ya kumuaga rafiki yangu kipenzi, jamaa kamaliza MD moja ya chuo kikuu hapa jijini, kaja mtaani wakati anasubiria ajiri, akaamua ajishikize kwenye Bajajo, Jana saa moja usiku kwa bahati mbaya akapata ajali baada ya bajaji yake kugongana na coaster.
Mwamba akalaa mazima. Ooh maisha nini ni sasa? Harakati zote na ndoto zote zimekwisha. Its too sad indeed.
Maisha kutokuwa na huruma ndio concern ya mtoa mada, kwa nini maisha yasiwe na huruma wakati hatukuomba kuzaliwa wala kuyapata?Furahia kîla Leo
Maisha hayana huruma
Usiseme hvyo ndugu,sasa kama ajira hakuna aendelee kukaa akiisubiri serikali ??Yan umemaliza MD unaamua kujishikiza kwenye bajaji?
Jamaa hakuwa serious
Maisha kutokuwa na huruma ndio concern ya mtoa mada, kwa nini maisha yasiwe na huruma wakati hatukuomba kuzaliwa wala kuyapata?