Ama kweli kisa hiki cha Nairobi Kenya, cha kijana aliyeachwa hai na gaidi kina mafunzo mengi, be nice to people you never know..!!

Ama kweli kisa hiki cha Nairobi Kenya, cha kijana aliyeachwa hai na gaidi kina mafunzo mengi, be nice to people you never know..!!

Jay One

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
18,042
Reaction score
19,787
Nimewaza sana, life acha tu..!!

🤔Tunaweza jifunza jambo hapa, WEMA always una nguvu zaidi ya UOVU..!! *Just be nice to people you never know who they are..!!*

IMG-20190118-WA0023.jpg
 
Kwa upelelezi wenu wa kijinga mtapigwa sana na watawatoroka hao magaidi wakijifanya ni wahanga ama wamepona pona, kwanini msifikirie huyo jamaa ndiye informer wao na alihusika kupanga njama na kuwapa ramani za jengo hilo kabla hawajaja?
 
Mm sijaelewa any translater?
Kama uko serious.. Kisa kinaelezea hivI kwa tafsiri isiyo rasmi;

Kijana Reuben alikuwa ni muhudumu wa hoteli ambayo magaidi hao walikuwa wakifika mara kwa mara kujipatia kahawa na mambo mengine mpaka akazoeana nao (hakujua ni magaidi).

Sasa, pamoja na kwamba hao wateja (magaidi) kuwa wakorofi na wababe walipokuwa wakihitaji huduma, mshikaji alikuwa akiwapa huduma kwa upole na unyenyekevu ile kiroho safi.

Siku ya tukio, Reuben akiwa amelala chini na watu wengine, aliinua kichwa chake na kugonganisha macho na gaidi mmoja akamfahamu.. Gaidi akakumbuka ukarimu wa Reuben, akawaua watu wengine wote na kumuacha hai Reuben. Wema wake ulimuokoa na kifo.

Hapo vipi mkuu? Najua nimesaidia wengi.
 
Japo anafaa kuhojiwa, lakini sitegemei awe alihusika maana alivyo mjinga anahadithia hicho kisa ilhali kinaweza kumtia kwenye matatizo,
kuna mengine ya kukausha hadi usome upepo kwanza, sasa hivi usalama wa taifa wana hasira kama simba, wanazunguka kote wakitafuta wa kumtia meno.
 
Yani kwamba jamaa amepona kisa alikuwa anawapa huduma nzuri..? labda ila sidhani ikiwa wana uwezo wa kupiga risasi watu wengine wasio kuwa na hatia huyu wana weza mwacha., nina waza tuu.
 
Kama uko serious.. Kisa kinaelezea hivI kwa tafsiri isiyo rasmi;

Kijana Reuben alikuwa ni muhudumu wa hoteli ambayo magaidi hao walikuwa wakifika mara kwa mara kujipatia kahawa na mambo mengine mpaka akazoeana nao (hakujua ni magaidi).

Sasa, pamoja na kwamba hao wateja (magaidi) kuwa wakorofi na wababe walipokuwa wakihitaji huduma, mshikaji alikuwa akiwapa huduma kwa upole na unyenyekevu ile kiroho safi.

Siku ya tukio, Reuben akiwa amelala chini na watu wengine, aliinua kichwa chake na kugonganisha macho na gaidi mmoja akamfahamu.. Gaidi akakumbuka ukarimu wa Reuben, akawaua watu wengine wote na kumuacha hai Reuben. Wema wake ulimuokoa na kifo.

Hapo vipi mkuu? Najua nimesaidia wengi.
Nashukuru mkuu nimekupata.....

Navyo fahamu mm jambazi/gaidi akisha fahamu umemtambua hakuachi salama ili kuondoa ushahidi...

Hatuwezi kumhukumu huyu dogo lakini angetakiwa achunguzwe na kuhojiwa....
 
Japo anafaa kuhojiwa, lakini sitegemei awe alihusika maana alivyo mjinga anahadithia hicho kisa ilhali kinaweza kumtia kwenye matatizo,
kuna mengine ya kukausha hadi usome upepo kwanza, sasa hivi usalama wa taifa wana hasira kama simba, wanazunguka kote wakitafuta wa kumtia meno.
Ingekuwa ni Tanznia watu kama hao wangezombwa wote kwenye kutoa ushahidi/kutoa maelezo
 
Nashukuru mkuu nimekupata.....

Navyo fahamu mm jambazi/gaidi akisha fahamu umemtambua hakuachi salama ili kuondoa ushahidi...

Hatuwezi kumhukumu huyu dogo lakini angetakiwa achunguzwe na kuhojiwa....
Sasa hao walikua wamejitoa muhanga hata ukimjua inasaidia nini wakati yeye anajua amekuja kuua na kuuawa?Wangekua wamekuja kuua na kukimbia asingemuacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewaza sana, life acha tu..!!

🤔Tunaweza jifunza jambo hapa, WEMA always una nguvu zaidi ya UOVU..!! *Just be nice to people you never know who they are..!!*

View attachment 998071
Huyo Mungu kamuokoa tu coz Jambazi ni mbaya sana kama.anakujua pindi ukikutana NAE kwenye tukio
 
Back
Top Bottom