misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Uchunguzaji wa matukio kama haya ni torture mwanzo mwisho mkuu. Angekaushaa tu ila cctv ingemuumbuaNashukuru mkuu nimekupata.....
Navyo fahamu mm jambazi/gaidi akisha fahamu umemtambua hakuachi salama ili kuondoa ushahidi...
Hatuwezi kumhukumu huyu dogo lakini angetakiwa achunguzwe na kuhojiwa....
Sent using Jamii Forums mobile app