Ama kweli najuta, sitasahau hii tarehe 20/08/2022

Ama kweli najuta, sitasahau hii tarehe 20/08/2022

Mwanamwaiche

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2022
Posts
665
Reaction score
968
Sitasahau, imetokea 20.08.2022 somewhere. Demu nimnywesha bia tukaenda lodge, sijafanya chochote nae katoa bonge la kojo hapohapo bed.

Nikazira, nikajitenga kwa chini, shortly baada ya lisaa nasikia pwaah nauliza umejisaidia au umejamba? Kustuka kaamka kaenda chini kaongeza kujisaidia, kahamia upande mwingine kaendeleza kunya, na kojo lingine la nguvu.

Kumbuka chumba kina choo ndani, sijagusa ndogo na wala situmii. Haogopi hajaenda choo kasogea pembeni kaacha kila kitu kajilaza tena kajifunika anapiga usingizi, kinyesi chote yapo kama kawa. Hatari sana najuta najuta.

Nilikimbia chumba alivokunya!!

Nikaenda kutoa taarifa haraka sana
 
Hivi upo ok?
-ulikimbia?
-akaamshwa(?)
-akagoma kusafisha(?)
-ulihama?
-au ulijisalimisha kwa wahusika wa lodge?
Vyote vilitokea niliondoka chumbani nilihamisha vitu vyangu, nikaenda kutoa taarifa, Cha ajabu kurudi nikiwa na wahudumu kajilaza tena akili ya kutolalia mavi anayo ila akili ya kusafisha hana, anaamshwa ili atoe uchagu anazingua ni aibu sana sana
 
Hivi upo ok?
-ulikimbia?
-akaamshwa(?)
-akagoma kusafisha(?)
-ulihama?
-au ulijisalimisha kwa wahusika wa lodge?
Sitakaa nisahau kanya kakojoa na hana aibu na akili ya kusafisha uchagu hana anaamshwa anazingua baada ya kupigwa na kuja shosti yake ndio katoa mashuka kwenda kusafisha.
 
20211219_202351.jpg
 
Back
Top Bottom