Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Uache kuzoa zoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahitaji maombiSitasahau, imetokea 20.08.2022 somewhere. Demu nimnywesha bia tukaenda lodge, sijafanya chochote nae katoa bonge la kojo hapohapo bed.
Nikazira, nikajitenga kwa chini, shortly baada ya lisaa nasikia pwaah nauliza umejisaidia au umejamba? Kustuka kaamka kaenda chini kaongeza kujisaidia, kahamia upande mwingine kaendeleza kunya, na kojo lingine la nguvu.
Kumbuka chumba kina choo ndani, sijagusa ndogo na wala situmii. Haogopi hajaenda choo kasogea pembeni kaacha kila kitu kajilaza tena kajifunika anapiga usingizi, kinyesi chote yapo kama kawa. Hatari sana najuta najuta.
Nilikimbia chumba alivokunya!!
Nikaenda kutoa taarifa haraka sana
Duh maisha yako yamenajisiwa, mtafute Mshana Jr akusaidieSitasahau, imetokea 20.08.2022 somewhere. Demu nimnywesha bia tukaenda lodge, sijafanya chochote nae katoa bonge la kojo hapohapo bed.
Nikazira, nikajitenga kwa chini, shortly baada ya lisaa nasikia pwaah nauliza umejisaidia au umejamba? Kustuka kaamka kaenda chini kaongeza kujisaidia, kahamia upande mwingine kaendeleza kunya, na kojo lingine la nguvu.
Kumbuka chumba kina choo ndani, sijagusa ndogo na wala situmii. Haogopi hajaenda choo kasogea pembeni kaacha kila kitu kajilaza tena kajifunika anapiga usingizi, kinyesi chote yapo kama kawa. Hatari sana najuta najuta.
Nilikimbia chumba alivokunya!!
Nikaenda kutoa taarifa haraka sana
Chai imewekwa vitunguu swaumuTuhurumie chai ina viungo vingi sanaaaa....
Kwa hiyo hayo mavi yake yananukia vanila hadi ukalala nayo usiku kucha?
Kunywa sumu ufe mkuuHatuna hela,usingizi utatoka wapi?