Ama kweli najuta, sitasahau hii tarehe 20/08/2022

Ama kweli najuta, sitasahau hii tarehe 20/08/2022

Sitasahau, imetokea 20.08.2022 somewhere. Demu nimnywesha bia tukaenda lodge, sijafanya chochote nae katoa bonge la kojo hapohapo bed.

Nikazira, nikajitenga kwa chini, shortly baada ya lisaa nasikia pwaah nauliza umejisaidia au umejamba? Kustuka kaamka kaenda chini kaongeza kujisaidia, kahamia upande mwingine kaendeleza kunya, na kojo lingine la nguvu.

Kumbuka chumba kina choo ndani, sijagusa ndogo na wala situmii. Haogopi hajaenda choo kasogea pembeni kaacha kila kitu kajilaza tena kajifunika anapiga usingizi, kinyesi chote yapo kama kawa. Hatari sana najuta najuta.

Nilikimbia chumba alivokunya!!

Nikaenda kutoa taarifa haraka sana
Anahitaji maombi
 
Sitasahau, imetokea 20.08.2022 somewhere. Demu nimnywesha bia tukaenda lodge, sijafanya chochote nae katoa bonge la kojo hapohapo bed.

Nikazira, nikajitenga kwa chini, shortly baada ya lisaa nasikia pwaah nauliza umejisaidia au umejamba? Kustuka kaamka kaenda chini kaongeza kujisaidia, kahamia upande mwingine kaendeleza kunya, na kojo lingine la nguvu.

Kumbuka chumba kina choo ndani, sijagusa ndogo na wala situmii. Haogopi hajaenda choo kasogea pembeni kaacha kila kitu kajilaza tena kajifunika anapiga usingizi, kinyesi chote yapo kama kawa. Hatari sana najuta najuta.

Nilikimbia chumba alivokunya!!

Nikaenda kutoa taarifa haraka sana
Duh maisha yako yamenajisiwa, mtafute Mshana Jr akusaidie
 
By the way, umeandika hii post kwa faida gani? Do you feel proud to write about it?
 
Usiwe unajibebea hovyo hovyo. Mimi demu asiye na aibu simpendi kabisa tena hanipi mzuka
 
Sema ukweli ulimfanya nn mdada wa watu ....... Umemfungua geti kayashusha unakuja kumsema😁
 
Back
Top Bottom