Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.

Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.

Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.

Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.

Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.

Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.

Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.

Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
 
ni dhahiri atatulia na atapoa sana.
atabadilika mno. anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono...

ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa. atararuliwa sana. atalalamika kuhujumiwa..

ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi...

hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya...

bilashaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga..

maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena 🐒
hivyo hivyo alivyo, anaweza kugombea hata ubunge akapata, na anaweza kuwakilisha wateja mahakamani, sioni nini kimepungua.
 
ni dhahiri atatulia na atapoa sana.
atabadilika mno. anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono...

ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa. atararuliwa sana. atalalamika kuhujumiwa..

ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi...

hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya...

bilashaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga..

dah,
ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi..

maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena 🐒
Ndio kwanza moto umewaka we jamaa.
 
Ona aibu,Mbona kura zake mlizitupa,Mkazima na mfumo wa TLS .Nyokoo.Tuliza kitoa takamwili chako mzee
tuliza mihemko kidogo gentleman,
kura zinajadiliwa mahala pengine,
hapa ni kwamba,

kwa makusudi jamaa ni kama kaangushiwa jumba bovu,
ni ama atulie ama apotee kwenye medani na harakati 🐒
 
ni dhahiri atatulia na atapoa sana.
atabadilika mno. anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono...

ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa. atararuliwa sana. atalalamika kuhujumiwa..

ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi...

hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya...

bilashaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga..

dah,
ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi..

maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena 🐒
Mmmm nguvu yote ile unasema ametulizwa ? 2025 kuna jimbo linaenda cDM tulia uoneer
 
Wadanganye Wajinga Wenzio
relax cousin wa chairman,

usidhihaki familia hii yenye heshma kubwa mno humu nchini,
kama umefikia ukomo wa fikra mpya au mawazo mbadala na huna hoja just rest kiungwana na roho safi 🐒
 
Wadanganye Wajinga Wenzio
relax cousin wa chairman,

usidhihaki familia hii yenye heshma kubwa mno humu nchini,
kama umefikia ukomo wa fikra mpya au mawazo mbadala na huna hoja just rest kiungwana na roho safi 🐒

but for sure jamaa ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa kali sana 🐒
 
Wadanganye Wajinga Wenzio
relax cousin wa chairman,

usidhihaki familia hii yenye heshma kubwa mno humu nchini,
kama umefikia ukomo wa fikra mpya au mawazo mbadala na huna hoja just rest kiungwana na roho safi 🐒

but for sure jamaa ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa kali sana 🐒
 
Back
Top Bottom