Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ingekuwa hivyo wasingemkata hadi akate rufaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahivyo,Sema hivii wale waovu wa wizi kwenye mabox ya kula wamezidiwa kete na wapenda haki na wanaoamini uwepo wa Mungu kwa uhalisia.
Usipoangalia utawehuka siku sio nyingi. Nakushauri mambo ambayo huyajui Wala kuyafahamu uwe unakaa kimya kuliko kujidhalilisha.Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Hizi mambo kaongee na chawa wenzio, akiwemo chawa mgeni Msigwa,na atanyamaza vizur sana kwasabubu anajua table manners vizur,
sio tabia nzuri kuongea wakati unakula 🐒
umekosa hoja, mawazo mapya wala fikra mbadala umekuja na mihemko tu,Usipoangalia utawehuka siku sio nyingi. Nakushauri mambo ambayo huyajui Wala kuyafahamu uwe unakaa kimya kuliko kujidhalilisha.
Hiviii,chawa na mabosi wao wanapandikiza chawa mamluki kwenye sehemu za maamuzi muhimu hata kwa wizi kwenye mabox ya kula ili waendelee kula kwa urefu wa kamba hata kuvimbiwa bila kusumbuliwa na yeyote ila kwa kuimbiwa mapambio na chawa wao wezi washirika.kwahivyo,
unataka kusema wale mawakili waliongombe na ambao hawakugombea,na waliokusanyika hapa Dodoma sio wapenda haki, na hawamuamini Mungu right?🐒
bright clan hatunaga mbambamba,Huyu jamaa nilimuona ni bright person kumbe ni mswahili mwenzetu
Mimi nimemuunga mkono Mheshimiwa TlaahTlaahHadi Lucas Mwashambwa kakucheka jitafakari sana
Hopeless human being ever existedNi dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
achana na Imani potofu na za kishirikina, ule ulikua uchaguzi wa chama cha mawakili Tanzania 🐒Hiviii,chawa na mabosi wao wanapandikiza chawa mamluki kwenye sehemu za maamuzi muhimu hata kwa wizi kwenye mabox ya kula ili waendelee kula kwa urefu wa kamba hata kuvimbiwa bila kusumbuliwa na yeyote ila kwa kuimbiwa mapambio na chawa wao wezi washirika.
Ukiona hivyo chawa mwenzio ama mla kwa kamba wenzio hata kuvimbiwa.Mimi nimemuunga mkono Mheshimiwa TlaahTlaah
Kiazimuerevu umefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala sio?🐒
jizuie usitukane tu
relax gentleman,Rubbish. Huko CCM kila mtu ana ndevu, ni kama kambale tu.
Shauri yako shauri yenu huu ni ushauri adimu kwa machawa na wala kwa urefu wa kamba hata kuvimbiwa.Usije sema hukuambiwa usije laumiwa na chawa,usije laumiwa na wala kwa urefu wa kamba.achana na Imani potofu na za kishirikina, ule ulikua uchaguzi wa chama cha mawakili Tanzania 🐒
Imani za kinyumbu na kichawa ni vema mkabaki nazo kwenye vyama vyenu vya ushirika 🐒