DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
bright clan hatunaga mbambamba,
tunatoa hoja za maana kitaalamu zaidi na kwakweli ndio maana daima tuko sambamba na wananchi tunasonga mbele pamoja bila kujali fulani kapenda au kachukizwa na uzito au umuhimu wa hoja mahususi mezani 🐒
by the way,
boss mpya TLS is no more an activist nor politician, he is done, he is no more relevant in political scene politically speaking 🐒
Kwahiyo huo urais wa TLS kapewa bure without any competition Battle?