Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikra kama za kwa jirani zetu ???ni muhimu kua na fikra mpya na mawazo mbadala ya kisasa, kukariri kumewachelewesha wengi mambo mengi sana,
mambo yanabadilika gentleman 🐒
Ukimiliki itakuwa ni rahisi sana kuitwa sio mwenzetu na ni msaliti 🙌👍Kumiliki akili limekuwa Jambo gumu Sana huko CCM?
Mimi sijajitangaza kama wewe kuwa chochote mwenye "umuhimu"! Sasa ni wazi kabisa nilikuwa sahihi toka mwanzo kuhusu afya ya akili yako.huna uerevu wowote gentleman 🐒
unachoweza ni mihemko, dhihaka na kujipa umuhimu ambao completely huna 🤣
Hapa unajiona mjanja mwenyewe?binafsi sina haja kuungwa mkono ninapo toa hoja au elimu juu ya jambo fulani humu jukwaani 🐒
wananchi wanao niunga mkono hapa jimboni, pamoja na Imani kubwa aliyonayo kiongozi wetu mkuu wa chama Taifa inatosha sana gentleman 🐒
unamthibitishia nani sasa kwamba mimi ni mjanja na wewe ni kinyume chake?🐒Hapa unajiona mjanja mwenyewe?