Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Thomas Sankara alisemaga unaweza ukaua mwanamapinduzi yeyote yule lakini huwezi ukaziua Fikra !!

Akidondoka mmoja wataamka mia moja kama aliyedondoka au zaidi yake !!
Harakati ndivyo zilivyo Duniani !
ni muhimu kua na fikra mpya na mawazo mbadala ya kisasa, kukariri kumewachelewesha wengi mambo mengi sana,

mambo yanabadilika gentleman 🐒
 
Mwabukusi ni moja ya mpinzani ambaye anajua kucheza na akili za watanzania kwa maoni yangu huyu ni mpinzani aliye huru sana na hapendi kufungwa na fikra za vyama vya siasa yeye ni mpenda haki, huyu ni mzalendo wa kweli sidhani kama anaweza nyamaza haki ikiminywa. Huwa namuweka kundi moja na Makonda, Polepole na Dr Bashiri.
ni miongoni mwa wanaharakti maarufu watakao chukiwa ghafla zaidi ya rafiki yangu sana, William Ruto wa Kenya 🐒
 
Je unamjua vizuri?, Hapana sio kwa yeye.
kama mchambuzi si muhimu sana kumjua vizuri bali dalili na ishara za kisiasa na kimazingira ni dhahiri ameangushiwa jumba bovu, na kwa hulka yake anakwenda kukwama kuijenga upya bali kuiharibu zaidi 🐒
 
Kumbe ccm wameumia ushindi wa Boni
sure,
boni ameumizwa sana na kususiwa na nduguze kwenye kundi la mamba wakali pekeyake, tena kwa makusudi kabisa dah 🐒
 
Angeshinda wa ccm machawa mngeanza kumsifia kizimkazi, ila mmezidiwa kete mkae kwa kutulia.

Tlaatlaah na Etwege wamekuwa pinga pinga.
umefilisika ideas, umekosa hoja na fikra mbadala dhidi ya hoja mezani, umeamua kutaja taja majina tu tena kwa mistari isiyo na vina🐒
 
ni miongoni mwa wanaharakti maarufu watakao chukiwa ghafla zaidi ya rafiki yangu sana, William Ruto wa Kenya 🐒
William Ruto uliwahi kusikia akitetea wanyonge mahakamani. Kitu ambacho unapaswa kufahamu ni kuwa watanzania walio wengi kwa sasa wamekosa imani na vyama vya siasa ila na wanamuamini mtu anayeonekana anatetea maslahi yao na ya nchi haijalishi yupo chama gani. Na sifa hizi anazo Mwabukusi.
 
William Ruto uliwahi kusikia akitetea wanyonge mahakamani. Kitu ambacho unapaswa kufahamu ni kuwa watanzania walio wengi kwa sasa wamekosa imani na vyama vya siasa ila na wanamuamini mtu anayeonekana anatetea maslahi yao na ya nchi haijalishi yupo chama gani. Na sifa hizi anazo Mwabukusi.
mambo yanabadilika gentleman,

kwavyo umekariri wanyonge hutetewa mahakamani pekee, right?🐒

nje ya mahakama mnyonge hana mtetezi right?🐒

Lakini pia ni muhimu zaidi ukaachana na Imani za kishirikina sijui za kuamini chama au mtu fulani, utapotea gentleman...

Amini Mungu Pekee 🐒
 
Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.

Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.

Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.

Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.

Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.

Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.

Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.

Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Kumiliki akili limekuwa Jambo gumu Sana huko CCM?
 
Back
Top Bottom