Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni namna ya tafsiri yako tu.Kwa mfano,nikikueleza hapo tumboni una mavi na si chakula utanuna?naona unapasha misuli ya kuanza kuyaporomosha š¤£
Being positive about other people is neither panicking nor apolitical.don't panic, relax gentleman,
this is political forum, you must know its implications and contradictions š
Sheria Haimkatazi hata Kugombea URAIS wa nchiHuyu jamaa nilisikia anataka Ubunge, je anaweza kugombea ubunge akiwa na nafasi yake hiyo?
Rais TLS anahudumu muda gani madarakani?Huyu jamaa nilisikia anataka Ubunge, je anaweza kugombea ubunge akiwa na nafasi yake hiyo?
wherever it may,Being positive about other people is neither panicking nor apolitical.
Lisu aliweza.inawezekana kinadharia, lakini kivitendo ni kazi nzito mno kutumika katika taasisi hizo mbili zenye majukumu makubwa na muhimu kwa mustakabali mwema wa Taifa š
Kumbe ccm wameumia ushindi wa BoniNi rasmi sasa TLS ni tawi la CHADEMA. Huu ndo uchaguzi pekee CHADEMA wameshinda.
Je unamjua vizuri?, Hapana sio kwa yeye.Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Thomas Sankara alisemaga unaweza ukaua mwanamapinduzi yeyote yule lakini huwezi ukaziua Fikra !!So mtampoteza Au mtamteka
Being critical is not being negative and being negative is not being critical too.wherever it may,
but negativity and positivity are part and percel within political sphere,
you must be ready for constructives and deconstructive criticisms, otherwise panicking moods of your will always be ONš
Wewe ni bwabwa ?relax cousin wa chairman,
usidhihaki familia hii yenye heshma kubwa mno humu nchini,
kama umefikia ukomo wa fikra mpya au mawazo mbadala na huna hoja just rest kiungwana na roho safi š
but for sure jamaa ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa kali sana š
Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura
Maskini weeeee! Hammutegemea kabisa kama matokeo yatakuwa hivi.
TLS sio Serikalibacha uvivu wa fikraHuyu naye atakuwa analipwa mshara na serikali naomba kujua hilo??
Haha mnajitia vidole wenyewe kama u boss mmempa wenyewe hizi Helka heka za mkuu wa wilaya zilikuwa za Nini ? Ficha ujinga wakoNi dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274