Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Hili jamaa wewehaulijuaungekaa kimya. Hapo ndi kaingeza milage
asiye na mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja iliyoko mezani ndie pekee anastahili kukaa kimya, nadhani ungeamua hivyo ingepenzea zaidi gentleman šŸ’
 
Being positive about other people is neither panicking nor apolitical.
wherever it may,
but negativity and positivity are part and percel within political sphere,

you must be ready for constructives and deconstructive criticisms, otherwise panicking moods of your will always be ONšŸ’
 
Mwabukusi ni moja ya mpinzani ambaye anajua kucheza na akili za watanzania kwa maoni yangu huyu ni mpinzani aliye huru sana na hapendi kufungwa na fikra za vyama vya siasa yeye ni mpenda haki, huyu ni mzalendo wa kweli sidhani kama anaweza nyamaza haki ikiminywa. Huwa namuweka kundi moja na Makonda, Polepole na Dr Bashiri.
 
wherever it may,
but negativity and positivity are part and percel within political sphere,

you must be ready for constructives and deconstructive criticisms, otherwise panicking moods of your will always be ONšŸ’
Being critical is not being negative and being negative is not being critical too.
 
relax cousin wa chairman,

usidhihaki familia hii yenye heshma kubwa mno humu nchini,
kama umefikia ukomo wa fikra mpya au mawazo mbadala na huna hoja just rest kiungwana na roho safi šŸ’

but for sure jamaa ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa kali sana šŸ’
Wewe ni bwabwa ?
 
Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.

Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.

Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.

Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.

Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.

Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.

Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.

Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura

Maskini weeeee! Hammutegemea kabisa kama matokeo yatakuwa hivi.
 
Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.

Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.

Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.

Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.

Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.

Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.

Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.

Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Haha mnajitia vidole wenyewe kama u boss mmempa wenyewe hizi Helka heka za mkuu wa wilaya zilikuwa za Nini ? Ficha ujinga wako
 
Back
Top Bottom