Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hunaga wazo jipya wala fikra mbadala, ni kulalamika tu katika kila hoja..Hapana. Lugha ya staha hainikeri hata kimoja; kinachokera ni hadaa inayotumika nyuma ya hiyo lugha ya staha. Kumbe hata huelewi ninacho kueleza?
Ukitumia lugha ya staha kwa ukweli wake nani atakuhangaisha na hilo.
Unafiki, uzandiki, hadaa, na kila aina ya udanganyifu nyuma ya lugha ya staha ni upuuzi mtupu.
We ZombieπNi dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
binafsi sina haja kuungwa mkono ninapo toa hoja au elimu juu ya jambo fulani humu jukwaani πMkishindwa kufanya ushetani wenu huwa mnakuja na mbinu mpya, ila hakuna atakae waunga mkono
Hoya hueleweki unatabia ya K akisimama ipo mbele akichuchumaa inatazama chini akiinama ipo nyuma!Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Hakuna namna ninayoweza kuacha kilaza aina yako utambe humu kwa raha zako mwenyewe. Hii haitatokea hata siku moja. Juwa hivyo. JF siyo mahali pa kuja kuweka takataka za kuvuruga akili za watu na kuwasimanga, huku ukijijekesha chekesha kama mwenda wazimu.hunaga wazo jipya wala fikra mbadala, ni kulalamika tu katika kila hoja..
si unachoka sana moyoni na akilini aise bila faida yoyote π
mie sie wa kubabaika na wa aina yako, ila kwasabb ni miongoni mwa wananchi wangu nashindwa kabisaa kujitenga nawe kwasabb pia una haki ya kuskizwa hata kama huna hoja, hususani na na viongozi wa wa kisasa wa aina yangu, makini, wenye huruma na wasiyoyumbishwa na chochote katika utendaji wa kila siku πHakuna namna ninayoweza kuacha kilaza aina yako utambe humu kwa raha zako mwenyewe. Hii haitatokea hata siku moja. Juwa hivyo. JF siyo mahali pa kuja kuweka takataka za kuvuruga akili za watu na kuwasimanga, huku ukijijekesha chekesha kama mwenda wazimu.
Nimekwisha kueleza mara kadhaa humu, hii kazi kama ulipewa ukifikiri namna yako ya uwasilishaji ndiyo itakuwa nafuu yako kuwavuruga watu, fahamu kwamba hilo limekwisha tambulika. Tunajuwa staili hiyo inatumiwa sana na huyo aliye kuleta hapa, na yeye hana njia tena ya kuwadanganya watu huku matendo yake yakiwa ni maovu.
Tafuteni njia nyingine ya kudanganyia watu.
Kibarua kina elekea ukingoni hiki, ushauri ninaoweza kukupa wewe ni huu: achana na hizi hadaa za kijinga. Fanya tu mambo unayotumwa kuyaleta hapa kama ulivyo, na siyo kama unavyo igiza. Hii ni sanaa tu unayoleta humu, haina uhalisia wowote.mie sie wa kubabaika na wa aina yako, ila kwasabb ni miongoni mwa wananchi wangu nashindwa kabisaa kujitenga nawe kwasabb pia mna haki ya kuskizwa hata kama hamna hoja, hususani na na viongozi wa aina yangu, makini, wenye huruma na wasiyoyumbishwa na chochote katika utendaji wao π
leo ndio naingia mjini baada ya zaidi ya mwezi moja kupambana na kazi za mavuno shambani, ajira na kibarua changu cha kwanza kunipatia Camry mpyaaaaaa, siwez kukusahau wala kuacha asili yangu πKibarua kina elekea ukingoni hiki, ushauri ninaoweza kukupa wewe ni huu: achana na hizi hadaa za kijinga. Fanya tu mambo unayotumwa kuyaleta hapa kama ulivyo, na siyo kama unavyo igiza. Hii ni sanaa tu unayoleta humu, haina uhalisia wowote.
Sasa hili la kuigiza kuwa boss anayekutuma nalo naona hata huoni aibu kuendelea kujifanya ndiwe mwenyewe. Hivi wewe unafikiri unajishughulisha na watu wenye akili ndogo humu?
Watu wanaangalia miandiko tu na kujuwa tofauti kubwa iliyopo, ingawaje nyote wawili hamuonyeshi hata uwezo wa ushawishi juu ya lolote. Lugha zenu ni tofauti kabisa.
Alipo jitangaza kuwa huwa anapitia humu, na pengine kuchukuwa jukumu la kumwakilisha humu, ukalichukulia kuwa wewe ndiye uwe mbadala wake na kujitangaza kabisa?
Nilisema wewe ni chizi tokea mwanzo kabisa. Sikukosea.leo ndio naingia mjini baada ya zaidi ya mwezi moja kupambana na kazi za mavuno shambani, ajira na kibarua changu cha kwanza kunipatia Camry mpyaaaaaa, siwez kukusahau wala kuacha asili yangu π
kongole nyingi sana kwa Rais Dr Samia Suluhu Hassan kupitia kwa waziri wa kilimo kijana mchapakazi hodari Hussein Bashe, mwaka huu wakulima tuna long smile π€
well done our very Loved leaders...
hivi vibarua vinginevyo ni dhamana za ziada kwa maslahi mapana ya waTanzania wote, wala siringi, cheo ni dhamana umma kwa muda tu, wanainchi wataamua π
utaumia moyoni sana gentleman,Nilisema wewe ni chizi tokea mwanzo kabisa. Sikukosea.
Kwa hiyo mtu kama wewe ndiye uje humu kupotezea watu muda, huoni ujuha huo?
Anaye umia ni wewe, kwa sababu unapoteza kila kitu anayekulisha atakaporudi nyumbani; jambo ambalo lipo wazi kabisa sasa.utaumia moyoni sana gentleman,
tozo, ushuru na hiyo kodi kidogo unatozwa kwa kweli si ya kutengemea sana, coz kuna leo na kesho,
by the way hiyo ya shamba mbona ni kidogo tu gentleman...
kuna ya mang'ombe aise π
hii ya siasa ambayo ndio msingi wa hata haya mengine, ni taaluma yangu na naifanya vizur japo inawapa mihemko sana ndrugu zangu, lakini sina namna itabidi mzoee tu π
mie naumia na kukomaa na shughuli na kazi za shamba ili familia yangu iendelee kufurahia matunda ya kazi za mikono yangu,Anaye umia ni wewe, kwa sababu unapoteza kila kitu anayekulisha atakaporudi nyumbani; jambo ambalo lipo wazi kabisa sasa.
EEEEEeeenHEEEEEEEeee!hii ya siasa ambayo ndio msingi wa hata haya mengine, ni taaluma yangu na naifanya vizur japo inawapa mihemko sana ndrugu zangu, lakini sina namna itabidi mzoee tu
Nakusoma vizuri sasa, mkuu 'Tlaatlaa', hebu endelea?mie naumia na kukomaa na shughuli na kazi za shamba ili familia yangu iendelee kufurahia matunda ya kazi za mikono yangu,
Lakini pia napambamba kwa bidii na saa zingine uchungu mwingi ili wananchi jimboni waneemeke na maarifa na mipango mikakati muhimu na ya maana zaidi kwa mustakabali na manufaa yao katika maisha yao π
kwani kuna kitu mbaya hapo gentleman?π
unadhani aliefilisika kwa hoja, mawazo mapya na fikra mbadala atakua na option gani zaidi ya hiyo?πEEEEEeeenHEEEEEEEeee!
Kama unayo "taaluma" kwenye eneo la siasa, mbona unaboronga hivi? Hii taaluma uliisomea chuo gani?
Nataka tu ujue moja, na usinihangaishe tena kwa hilo. Ninapoona takataka, sina simile juu ya hiyo takataka. Uwezo wa kutenganisha takataka na mambo mazuri ninao sana. Hiyo taaluma unayoizungumzia hapa ni taaluma ya taka.unadhani aliefilisika kwa hoja, mawazo mapya na fikra mbadala atakua na option gani zaidi ya hiyo?π
na kwa upande wangu sioni tatizo kudeal na asie na hoja, na mkimbia hoja kama wewe gentleman π