Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #141
tuliza mihmko bas š¤£Nataka tu ujue moja, na usinihangaishe tena kwa hilo. Ninapoona takataka, sina simile juu ya hiyo takataka. Uwezo wa kutenganisha takataka na mambo mazuri ninao sana. Hiyo taaluma unayoizungumzia hapa ni taaluma ya taka.
hujawahi kua na mawazo mapya wala fikra mbadala dhidi ya hoja nzito na muhimu zinazowasilishwaga humu jukwaani,
utajiri ulionao ni mihemko tu isiyo na maana yoyote š