Huko kujichekesha chekesha huku ukiungua ndani kwa ndani, ndilo gonjwa hilo linalokusibu. Ni kwa vile hujitambui tu!relax bana,
huna haja kua na pressure ikiwa siasa ni taaluma yako,
unababaika pasipo sababu, unajichosha bure tu 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kujichekesha chekesha huku ukiungua ndani kwa ndani, ndilo gonjwa hilo linalokusibu. Ni kwa vile hujitambui tu!relax bana,
huna haja kua na pressure ikiwa siasa ni taaluma yako,
unababaika pasipo sababu, unajichosha bure tu 🐒
kamwambie aliye kutuma kazi hii ngumu huiwezi.unaumia?🤣
kwasababu unachekesha sana aise 🐒
kumbe lugha ya staha ninayoitumia inakukera ee🤣kamwambie aliye kutuma kazi hii ngumu huiwezi.
Alidhani hivyo vi-'pychology' vya kutumia "lugha ya staha' vitakusaidia hapa; kamwambie watu washajuwa hadaa zote mnazotumia..
Niktizama hiyo 'avatar' yako tu, inatosha kujuwa ulivyo pungukiwa kichwani mwako.
Mkishindwa kufanya ushetani wenu huwa mnakuja na mbinu mpya, ila hakuna atakae waunga mkonoNi dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Hapana. Lugha ya staha hainikeri hata kimoja; kinachokera ni hadaa inayotumika nyuma ya hiyo lugha ya staha. Kumbe hata huelewi ninacho kueleza?kumbe lugha ya staha ninayoitumia inakukera ee🤣
halafu mie mbona naona ni lugha ya kawaida tu aise🐒
nilitamani unifundishe namna ya kupanic na kua na mihemko, then kuyaporomosha kama wewe ila muda ndio sina sasa, dah 🐒
Walifikiri watu hawataelewa kuwa ni hadaa zinazofanyika huku lengo lilkiwa ni lile lile la ukandamizi.Mkishindwa kufanya ushetani wenu huwa mnakuja na mbinu mpya, ila hakuna atakae waunga mkono
Usikute ndo maana walikata jina lake ili asigombeeNi dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Rango atakuwa na wakati mgumu sana 2025. Mbele chuma, nyuma chuma.Mmmm nguvu yote ile unasema ametulizwa ? 2025 kuna jimbo linaenda cDM tulia uoneer
Try to be positive about people. Don't destroy yourself for being negative because the measure you use to fault others it is the measure that will be used to fault you.Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.
Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.
Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.
Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.
Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.
Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.
Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
don't panic, relax gentleman,Try to be positive about people. Don't destroy yourself for being negative because the measure you use to fault others it is the measure that will be used to fault you.
jiandae kuanza kumporomoshea yale mazito mazito soon later gentleman 🐒Tlaa tlaa umelowana upo ndembendembe chaliii naona Kajunjumele Mwabukusi kakulegeza macho kama umekula kungu angalia kijana usijeishia kusomwa jicho la tatu
kupitia kodi yako na yangu,Huyu naye atakuwa analipwa mshara na serikali naomba kujua hilo??