Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.

Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.

Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.

Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.

Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.

Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.

Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.

Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Magonjwa Wewe,, Sheikh Yahaya,, Hatuna Mwaisa Bwege
Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.

Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.

Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.

Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.

Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.

Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.

Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.

Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Mgonjwa Wewe Sheikh Yahaya Hatuna Mwaisa Bwege
 
TLS nayo ipo tu sijawahi kuona impact yake amepita Lissu Fatuma karume nini kimebadirika imebadirisha nini kwenye Nchi vyama hivi nikama vyama vya serikali pia ikishakua Rais mfumo kama unakubana
hakika una hoja ya maana na muhimu sana isiyojadiliwa🐒
 
What do you mean by kapewa? Hutaki kukubali kuwa mmekuwa defeated unataka kudanaganya eti siasa ni sayansi kapewa kutulizwa?

Acha ujinga.

Wakati mlitaka hadi kuchakachua? Jamaa kapambana hadi kashinda eti kapewa. We falasi kweli wewe
 
mwalimu hapa sio darasani umekosea jukwaa 🐒
Vichaa wakionekana sehemu yoyote wanatambuliwa tu, haihitaji kuwa darasani.
Sasa najuwa umenikaribisha rasmi; tuendelee na huu ukichaa wako. Nitaueleza hadi mwisho.
 
Yaani we jamaa ni lipumbavu sana aisee pumbavy kbs hivi humu kuna waelevu wanaweza kukuelewa kweli labda mapunguwani menzio ya ccm.
 
Vichaa wakionekana sehemu yoyote wanatambuliwa tu, haihitaji kuwa darasani.
Sasa najuwa umenikaribisha rasmi; tuendelee na huu ukichaa wako. Nitaueleza hadi mwisho.
mwerevu ung'ang'ana tu na kisichoeleweka,

hata haijulikani unazungumzia hoja ipi hali ya kua iliyowasilishwa iko wazi na bayana kabisa 🐒
 
Yaani we jamaa ni lipumbavu sana aisee pumbavy kbs hivi humu kuna waelevu wanaweza kukuelewa kweli labda mapunguwani menzio ya ccm.
mwerevu anasumbuliwa na mihemko bila hoja, mawazo mapya wala fikra mbadala 🤣

kufilisika hoja ni aibu sana dah 🐒
 
What do you mean by kapewa? Hutaki kukubali kuwa mmekuwa defeated unataka kudanaganya eti siasa ni sayansi kapewa kutulizwa?

Acha ujinga.

Wakati mlitaka hadi kuchakachua? Jamaa kapambana hadi kashinda eti kapewa. We falasi kweli wewe
tuliza mihemko kidogo kwanza gentleman 🐒

mlitaka na nani, mawakili wameamua, tuliza ball na uwe mtulivu, sooner or later Lazima kazi ya kumporomoshea mnayoyajua itaanza 🐒
 
mwerevu ung'ang'ana tu na kisichoeleweka,

hata haijulikani unazungumzia hoja ipi hali ya kua iliyowasilishwa iko wazi na bayana kabisa 🐒
Wewe ni kichaa. Hilo moja.
Pili, ukichaa unapo tulia kidogo unajikuta kuwa unayo maumivu makali sana kichwani. Unahangaika na hayo maumivu kutafuta njia ya kuyatuliza.
EEEeenHEEEEE! Ile njia ya "upole" huku ndiko inakopitia? Naona mihangaiko mikubwa sana ikikusumbua.
Uelewe usielewe, hilo ni shauri zako. Kwa mtu punguani kama wewe nani atapoteza muda kuelewesha!
 
Ni dhahiri atatulia na atapoa sana, atabadilika mno, anaweza kupoteza ufuasi lakini pia anaweza kuongeza uungwaji mkono.

Ni kama nyumbu alietwezwa kwenye ziwa lenye mamba wakali sana na wenye njaa, atararuliwa sana atalalamika kuhujumiwa.

Ni namna ya kipekee na kitaalamu sana kumkomoa, kumpoteza maboya mwerevu na mjuaji kupita kiasi.

Hawezi tena kufurukuta, hatakua na muda tena wa kufanya harakati, na hataweza tena kufanya siasa alizokua akizifanya.

Bila shaka atakosa muda, atajikuta tu uchaguzi mkuu 2025 umefika na umekwisha na hatakua na la kufanya. Itamlazimu kuanza upya kujijenga.

Dah, ni kama vile kibogoyo kupewa mfupa ulowashinda fisi waerevu na walafi.

Maskini boss mpya wa TLS, ndio basi tena.

Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Uchungu ni hatari!
Pole sana! Usipoangalia utafariki, kubali tu uishi.
 
Uchungu ni hatari!
Pole sana! Usipoangalia utafariki, kubali tu uishi.
kwa Imani yangu kuishi ni Kristo kufa ni faida 🐒

ni kupe pole unae waza kufa mwili na roho,
hata hivyo boss mpya wa TLS ndani ya mdomo wa mamba wengi akiwa pekeyake, patamu hapo, halafu kwa makusudi kabisa 🤣

mawakili bana, kama wajumbe vile wanavyojua kumnyoosha mtu mbishi mwenye kiburi 🐒
 
Between the lines...there is something...nafsi Yako inajua unafeel vipi na Mwabukusi😅😅😅😅😅😅👋👋👋
 
Back
Top Bottom