Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

Kumiliki akili limekuwa Jambo gumu Sana huko CCM?
mwerevu mbona kama umefikia ukomo wa fikra mbadala na mawazo mapya gentleman? umebaki na mihemko na panic mood pekee, right?🐒🐒
 
ni muhimu kua na fikra mpya na mawazo mbadala ya kisasa, kukariri kumewachelewesha wengi mambo mengi sana,

mambo yanabadilika gentleman 🐒
Fikra kama za kwa jirani zetu ???
That’s not poa Gentleman. 😅🙌👍
 
huna uerevu wowote gentleman 🐒

unachoweza ni mihemko, dhihaka na kujipa umuhimu ambao completely huna 🤣
Mimi sijajitangaza kama wewe kuwa chochote mwenye "umuhimu"! Sasa ni wazi kabisa nilikuwa sahihi toka mwanzo kuhusu afya ya akili yako.
 
binafsi sina haja kuungwa mkono ninapo toa hoja au elimu juu ya jambo fulani humu jukwaani 🐒

wananchi wanao niunga mkono hapa jimboni, pamoja na Imani kubwa aliyonayo kiongozi wetu mkuu wa chama Taifa inatosha sana gentleman 🐒
Hapa unajiona mjanja mwenyewe?
 
Hapa unajiona mjanja mwenyewe?
unamthibitishia nani sasa kwamba mimi ni mjanja na wewe ni kinyume chake?🐒

haina haja kujitambulisha wala kunitambulisha mie popote, dili na hoja kwa mawazo mapya na fikra mbadala watu wajifunze na kuongeza uelewa na ufahamu juu ya mambo haya....

hayo mengine sio issue kabisa 🐒
 
Back
Top Bottom