Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Historia ya Nini mkuuTafuta historia ya wabembe kwanza
Hastahili kuchezea Simba huyo! Hata huko Taifa Stars, nilishangaa sana kumpigania kupata u raia ili aichezee timu hiyo!Ulitaka apewe nani hiyo namba? Hebu acheni malalamiko yenu hapa. Angefunga hapa, basi mngemwagia sifa kedekede!
Nimekuwa nikifatilia namna ya uchezaji wa huyu bwana, hakika Hana uwezo wa kucheza hapo msimbazi. Jamaa ni mweupe mno kwenye maswala ya mpira na Kama siyo uchawi hakika hapati namba kwenye klabu yoyote ya mpira hapa nchini.
Huwajui wabembe wakitaka jambo lazima liwe watakavyoHistoria ya Nini mkuu
Wewe huoni vituko vya Sakho mpaka umseme Kibu?Nimekuwa nikifatilia namna ya uchezaji wa huyu bwana, hakika Hana uwezo wa kucheza hapo msimbazi. Jamaa ni mweupe mno kwenye maswala ya mpira na Kama siyo uchawi hakika hapati namba kwenye klabu yoyote ya mpira hapa nchini.
Kongo hawezi kupata namba,hata benchi hakaiHastahili kuchezea Simba huyo! Hata huko Taifa Stars, nilishangaa sana kumpigania kupata u raia ili aichezee timu hiyo!
Hakika.Acha kibu Denis, hata Mgunda na Matola Wala hawafai kuifundisha Simba
Ndio wameipeleka makundi haoAcha kibu Denis, hata Mgunda na Matola Wala hawafai kuifundisha Simba
Sakho alipofunga lile goli si ilisemekana anaenda Ufaransa leo kawa hana akiliMauchafu simba ni
1.kanoute creativity zero
2.sakho akili hakuna
3.kibu anahitaji maombi tu