Ama kweli uchawi upo, hivi kweli Kibu Denis ni wakupewa namba Simba?

Ama kweli uchawi upo, hivi kweli Kibu Denis ni wakupewa namba Simba?

Daa Kibunenga sijui kakumbwa na nini msimu huu. Mwaka jana ndio alikuwa tegemeo pale kwenye safu ya ushambuliaji Simba ila msimu huu kila siku kiwango kinaporomoka kwa kasi sana.

Sakho naye hata haeleweki akicheza vizuri mchezo mmoja unaona kama vile Sakho anaanza kurudi upya mtazame mechi ijayo anakuwa hovyo. Hawa wachezaji wawili sijui wamekumbwa na nini msimu huu.
 
Back
Top Bottom