Ama kweli Wydad wakubali kuanza upya kuijenga timu yao, kwa timu hii waliyonayo na uchezaji wao kazi wanayo!

Ama kweli Wydad wakubali kuanza upya kuijenga timu yao, kwa timu hii waliyonayo na uchezaji wao kazi wanayo!

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Hii wydad ni Kama timu ya daraja la 4 kule lindi, ni ngumu sana timu Kama hii kutoboa popote pale kwa aina ya mpira wanaoucheza.

Wanacheza Kama vile wameshinda wao, Awana mipango, wanakosa nafasi za wazi kabisa kana kwamba wamevuta bangi zimewalevya, ni aibu!

Simba msijisifu kumfunga wydad mjisifu kufikisha alama 5 Kama wao walivyojisifu kuwafunga!

Kiufupi pwagu na pwaguzi wakikutana lazima apatikane mbabe!

Ongereni mmejipatia mtibwa wenu Leo🤣🤣🤣
 
Makolokolo yatakupinga kwa kejeli tu maana hawajawahi kuwa na upeo in Aden Rage's voice.
 
Hii wydad ni Kama timu ya daraja la 4 kule lindi, ni ngumu sana timu Kama hii kutoboa popote pale kwa aina ya mpira wanaoucheza,
Wanacheza Kama vile wameshinda wao, Awana mipango, wanakosa nafasi za wazi kabisa kana kwamba wamevuta bangi zimewalevya, ni aibu!
Simba msijisifu kumfunga wydad mjisifu kufikisha alama 5 Kama wao walivyojisifu kuwafunga!
Kiufupi pwagu na pwaguzi wakikutana lazima apatikane mbabe!
Ongereni mmejipatia mtibwa wenu Leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kesho mnakeketwa live
 
Hii wydad ni Kama timu ya daraja la 4 kule lindi, ni ngumu sana timu Kama hii kutoboa popote pale kwa aina ya mpira wanaoucheza,
Wanacheza Kama vile wameshinda wao, Awana mipango, wanakosa nafasi za wazi kabisa kana kwamba wamevuta bangi zimewalevya, ni aibu!
Simba msijisifu kumfunga wydad mjisifu kufikisha alama 5 Kama wao walivyojisifu kuwafunga!
Kiufupi pwagu na pwaguzi wakikutana lazima apatikane mbabe!
Ongereni mmejipatia mtibwa wenu Leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukichomoa huo mwiko uliochomekwa huko nyuma mpaka utauona ukubwa wa SIMBA SPORTS CLUB
 
Kesho mnakeketwa live
Nafikiri mihemko inakusumbua, unapotaja yanga itaje kwa adabu na heshima, yanga sio wydad Wala Simba Ile ni habari nyingine mnaweza mkaungana na wydad na bado mkapewa kichapo vile vile kwa mpira wenu huo mnaoucheza!
 
Hii wydad ni Kama timu ya daraja la 4 kule lindi, ni ngumu sana timu Kama hii kutoboa popote pale kwa aina ya mpira wanaoucheza.

Wanacheza Kama vile wameshinda wao, Awana mipango, wanakosa nafasi za wazi kabisa kana kwamba wamevuta bangi zimewalevya, ni aibu!

Simba msijisifu kumfunga wydad mjisifu kufikisha alama 5 Kama wao walivyojisifu kuwafunga!

Kiufupi pwagu na pwaguzi wakikutana lazima apatikane mbabe!

Ongereni mmejipatia mtibwa wenu Leo🤣🤣🤣
Wivu
 
Nafikiri mihemko inakusumbua, unapotaja yanga itaje kwa adabu na heshima, yanga sio wydad Wala Simba Ile ni habari nyingine mnaweza mkaungana na wydad na bado mkapewa kichapo vile vile kwa mpira wenu huo mnaoucheza!
Mbona unaandika kama umekalia kitu kigumu chenye ncha butu vile? Ngojeni kesho mkeketwe vizuri
 
Kesho mnakeketwa live
Nafikiri mihemko inakusumbua, unapotaja yanga itaje kwa adabu na heshima, yanga sio wydad Wala Simba Ile ni habari nyingine mnaweza mkaungana na wydad na bado mkapewa kichapo vile vile kwa mpira wenu huo mnaoucheza
Ukichomoa huo mwiko uliochomekwa huko nyuma mpaka utauona ukubwa wa SIMBA SPORTS CLUB
Ukubwa wake umeonekana kweli kwa kucheza na mtibwa aliyechangamka, tengenezeni timu mtakuja kunishukuru badae, wydad hii sio kipimo Cha ubora wenu endeleeni kushupaza shingo kwa hisani ya mangungu shauri yenu!
 
Mbona unaandika kama umekalia kitu kigumu chenye ncha butu vile? Ngojeni kesho mkeketwe vizuri
Ngariba akeketwi labda yeye ndiye anayekeketa kwa maana iyo kaa ukisubilia meli airport yanga sio timu ya sandakarawe brother nafikiri unaijua vizuri sana unajitahidi kujitoa ufahamu!
 
Form is permanent but class is temporary, wydad kwa sasa wanakosa form lakini ni team nzuri na kubwa africa.
Wanakosa form kwenye mechi ngapi? Ukiangalia wydad unaona kabisa ni timu ambayo Ina shida kubwa kuanzia kwa aina ya mifumo wanayotumia, Hali ya upambanaji Iko chini sana, wachezaji ni Kama vile Kuna kitu akipo sawa kwa upande wao, watafute suluhisho mapema vinginevyo Hali yao itakuwa mbaya zaidi uko mbeleni!
 
Wydad Leo walizidiwa nje ya uwanja, Leo Wydad walitengeneza nafasi 3/4 za kufunga ila zote wamekosa.
Simba wametengeneza nafasi 3 na mbili wamefunga.
Tena nafasi za Wydad zilikua za wazi kabisa ila walishatenezwa Waka tengenezeka[emoji2][emoji2]
 
Hii wydad ni Kama timu ya daraja la 4 kule lindi, ni ngumu sana timu Kama hii kutoboa popote pale kwa aina ya mpira wanaoucheza.

Wanacheza Kama vile wameshinda wao, Awana mipango, wanakosa nafasi za wazi kabisa kana kwamba wamevuta bangi zimewalevya, ni aibu!

Simba msijisifu kumfunga wydad mjisifu kufikisha alama 5 Kama wao walivyojisifu kuwafunga!

Kiufupi pwagu na pwaguzi wakikutana lazima apatikane mbabe!

Ongereni mmejipatia mtibwa wenu Leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana Kamwe, wiki utakuwa na wakati mgumu sana. Kesho ukishinda sana ni draw.
 
Pole sana Kamwe, wiki utakuwa na wakati mgumu sana. Kesho ukishinda sana ni draw.
Nafikiri utambui na unachokiongea, kumbuka unawaongelea mabingwa wa nchi wanaokuzidi ubora Kila idara, Sasa usilinganishe kichuguu na mlima utakuwa unafurahisha genge tu!
 
Back
Top Bottom