Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
π¨π¨π¨Kwa hiyo Warusi wanataka kuleta....er...Russian Democracy katika nchi ya DRC.
Tulia we mtusiUmeandika kiushabiki sana unadhani kwenda Kigali ni kama kunywa chai kwa mama lishe?
Rwanda ni sawa na wilaya ya sikonge mkoani tabora,wahuni wakiamua kukichafua,ni mwendo wa 60km tu kufika ikulu,Rwanda imekaa vibaya sanaUmeandika kiushabiki sana unadhani kwenda Kigali ni kama kunywa chai kwa mama lishe?
Tatizo wahutu mnaongea sanaTulia we mtusi
Ahahahah.Tactics za kijeshi za jamii forum ziko more advanced kuliko kile kinachotokea on battle field mambo uwa ayako hivyo jeshi linaongozwa na amri pamoja na permission za kuengage sio ukijisikia kulusha bomu unalusha popote mambo ayako hivyo.
Kawaida yenu kila anaewapinga mnamwita mtutsi.Tulia we mtusi
[emoji1787][emoji1787] usijidanganye na ukubwa wa kijiografia kijana angalia nchi za ulaya nyingi zina eneo dogo kijiografia lakini uchumi wao tunapokea misaada kila siku kutoka kwao.Rwanda ni sawa na wilaya ya sikonge mkoani tabora,wahuni wakiamua kukichafua,ni mwendo wa 60km tu kufika ikulu,Rwanda imekaa vibaya sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo wahutu mnaongea sana
Makamanda wa hapa Wana hasira Ile mbaya masaa sita Kigali yote inakuweza geuka majivu.Ahahahah.
Yan hii vita wangepewa majeralo wa hapa JF, zamaaaaani kagame alishapinduliwa na Rwanda ishakua mkoa wa Tanzania πππ
Kha,hujui kama huko na Burundi ni mikoa yetu.Ahahahah.
Yan hii vita wangepewa majeralo wa hapa JF, zamaaaaani kagame alishapinduliwa na Rwanda ishakua mkoa wa Tanzania πππ
Sizungumzii uchumi,nazungumzia watu wakiamua kukinukisha,yaani Rwanda hapatakalika,vurugu nchi nzima[emoji1787][emoji1787] usijidanganye na ukubwa wa kijiografia kijana angalia nchi za ulaya nyingi zina eneo dogo kijiografia lakini uchumi wao tunapokea misaada kila siku kutoka kwao.
Nipo kivu mda huu π€£π€£Aliyeanzisha thread ananipa wakati mgumu kuamini alichoandika, japo ni habari njema.