Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

Dah Rwanda inachukiwa sana.... Nadhani sababu ni raisi wake!!!
Ifike point uongozi uache kuwaponza raia wake,
USHUHUDA:
niliwahi msikia mama wa rafiki yangu akimpa ushauri mwanae wa kiume kwamba "kwenye maisha yako usijeoa mtusi"
nilivunga sijasikia lakini ile kitu huwa inanisumbua Sana mpk leo........ Viongozi wasituchonganishe jaman, ifike point mambo yao wasihusishwe raia wasio na hatia
 
Dah Rwanda inachukiwa sana.... Nadhani sababu ni raisi wake!!!
Ifike point uongozi uache kuwaponza raia wake,
USHUHUDA:
niliwahi msikia mama wa rafiki yangu akimpa ushauri mwanae wa kiume kwamba "kwenye maisha yako usijeoa mtusi"
nilivunga sijasikia lakini ile kitu huwa inanisumbua Sana mpk leo........ Viongozi wasituchonganishe jaman, ifike point mambo yao wasihusishwe raia wasio na hatia
Kwahiyo hamuoi kwetu 🤣🤣🤣
 
Wa TUTSI wa March 23 lazima muwaache wadai nchi yao, na hawatapoa mpaka nao wapate ardhi yao, wale sio WAmasai mnao waamishi kila siku.

M23 waachwe wapigane kama HAMAS, Hata wakifa waote tutawakumbuka kwa juhidi na harakati zao.
 
Sizungumzii uchumi,nazungumzia watu wakiamua kukinukisha,yaani Rwanda hapatakalika,vurugu nchi nzima

Nani ataamua wakati wote ni mbwa koko,fida ukikaa vibaya inakuumbua hata kama wewe unajiona ni giant muulize urusi.
 
Hapa itatokea moja kati ya hayo mawili.

M 23 wakishindwa kuiteka Sake na Goma,jeshi la SADC litakwenda Ikulu Kigali.

Mpaka sasa jeshi la SADC ndio lina nafasi nzuri ya kushinda. Lina uwezo mkubwa,pia linasaidiwa na Urusi.

Mambo wanayofanya M 23 siyo Democratic,kwa hiyo nadhani Warusi wanataka kuhakikisha kuwa inakuwepo democracy Kongo.

Kwa hiyo Warusi wanataka kuleta....er...Russian Democracy katika nchi ya DRC.
Wewe unaota Ndoto za mchana, Kigali hauijui hata kidogo. hao M23 wenyewe Kishekedi na Majeshi yake yooote, Akisaidiwa na Jeshi la Burundi, Akisaidiwa na Kundi zima la Wazalendo ambalo ni mkusanyiko wa makundi ya wapiganaji yapatayo 120, Ongezea kikosi kutoka SA, Ongezea Kikosi kutoka Malawi, Ongezea Kikosi kutoka TZ na Jeshi zima la Monusco hao wote wameshindwa hata kuchukua mita 100 za M23 halafu eti wataenda Kigali, you dont know what you are saying.
Kwa taarifa yako sasa, vijana wenu wanateketezwa kila kukicha, jana tu APC mbili za TZ zimeunguzwa na waliokuwemo ndani hakutoa mtu. Sasa kama M23 inawatoa kamasi ndio waende Kigali!! Hakuna kitu kama hicho.
 
Wewe unaota Ndoto za mchana, Kigali hauijui hata kidogo. hao M23 wenyewe Kishekedi na Majeshi yake yooote, Akisaidiwa na Jeshi la Burundi, Akisaidiwa na Kundi zima la Wazalendo ambalo ni mkusanyiko wa makundi ya wapiganaji yapatayo 120, Ongezea kikosi kutoka SA, Ongezea Kikosi kutoka Malawi, Ongezea Kikosi kutoka TZ na Jeshi zima la Monusco hao wote wameshindwa hata kuchukua mita 100 za M23 halafu eti wataenda Kigali, you dont know what you are saying.
Kwa taarifa yako sasa, vijana wenu wanateketezwa kila kukicha, jana tu APC mbili za TZ zimeunguzwa na waliokuwemo ndani hakutoa mtu. Sasa kama M23 inawatoa kamasi ndio waende Kigali!! Hakuna kitu kama hicho.
Mkuu......ushawahi kufika kivu kaskazini........mbona unatupanga sana.......na sisi tupo kivu mda huu
 
Kongo tajiri mno lakini m23 wanatumika kwa maslahi ya wazee wachache duniani. Sio sawa kabisa. Nadhani hii nchi ikifanikiwa kutumia rasilimali zake za asili(madini) vizuri, itakua ndio nchi tajiri Afrika na dunia ikawapa heshima yake.....sema ndo hvo tena
 
Kha,hujui kama huko na Burundi ni mikoa yetu.
Hakuna haja kupindua.
Suma JKT wakivutishwa mibangi yao,watapiga kila kitu hapo chigali na hata Congo.
Uzuri Congo na Burundi hatuna ugomvi wowote.
Hata Rwanda ni wanetu tu.
Ndo mana huoni kuna vita huko tunashiriki.
Mipepe ya jkt😁😁
 
Wewe unaota Ndoto za mchana, Kigali hauijui hata kidogo. hao M23 wenyewe Kishekedi na Majeshi yake yooote, Akisaidiwa na Jeshi la Burundi, Akisaidiwa na Kundi zima la Wazalendo ambalo ni mkusanyiko wa makundi ya wapiganaji yapatayo 120, Ongezea kikosi kutoka SA, Ongezea Kikosi kutoka Malawi, Ongezea Kikosi kutoka TZ na Jeshi zima la Monusco hao wote wameshindwa hata kuchukua mita 100 za M23 halafu eti wataenda Kigali, you dont know what you are saying.
Kwa taarifa yako sasa, vijana wenu wanateketezwa kila kukicha, jana tu APC mbili za TZ zimeunguzwa na waliokuwemo ndani hakutoa mtu. Sasa kama M23 inawatoa kamasi ndio waende Kigali!! Hakuna kitu kama hicho.

Aisee nimeisikia hii kitu kuwa wanajeshi waTz wameuwawa huko DRC.
 
Kongo tajiri mno lakini m23 wanatumika kwa maslahi ya wazee wachache duniani. Sio sawa kabisa. Nadhani hii nchi ikifanikiwa kutumia rasilimali zake za asili(madini) vizuri, itakua ndio nchi tajiri Afrika na dunia ikawapa heshima yake.....sema ndo hvo tena

DRC ni failed state,igawanywe tu itoe inch ndogo ndogo zinazoweza kujisimamia.
 
Back
Top Bottom