desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Kagame huoni alivyoibadilisha RwandaMbona mm sina akili kubwa?????
Tatizo mnatusifia sana kupitiliza....!!!!
Na sie tuna mapungufu kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagame huoni alivyoibadilisha RwandaMbona mm sina akili kubwa?????
Tatizo mnatusifia sana kupitiliza....!!!!
Na sie tuna mapungufu kibao
Huyu Mzee sitamsahau , alitutoa wa tz 🇹🇿 kwenye ushamba, mabro wengi wakaanza kwenda majuu, kupiga diliMkuu yesu alisema acha wafu wazike wafu wenzao....!!
Mm nipo na wakurungwa huku tunasaka ugali 🤣🤣🤣
RIP MZEE ALLY
Rwanda imejengwa Kigali tu.Kagame huoni alivyoibadilisha Rwanda
Hata ukimuuliza Rwanda ina silaha gani sophisticated hawezi kukupa jibu kamili.Humzidi DRC matumizi kwenye silaha,akiweka watu elfu 3 mpakani,elfu 5 katikati ya Rwanda hamtakaa hapo,mtakimbilia Tanzania tuwafuge Kama ng'ombe
Hahahaha dah namsaidiaga mr kipondi cha mtihan kukesha naeTactics za kijeshi za jamii forum ziko more advanced kuliko kile kinachotokea on battle field mambo uwa ayako hivyo jeshi linaongozwa na amri pamoja na permission za kuengage sio ukijisikia kulusha bomu unalusha popote mambo ayako hivyo.
Jamaa hata muuza kahawa hakufikiiWewe unaota Ndoto za mchana, Kigali hauijui hata kidogo. hao M23 wenyewe Kishekedi na Majeshi yake yooote, Akisaidiwa na Jeshi la Burundi, Akisaidiwa na Kundi zima la Wazalendo ambalo ni mkusanyiko wa makundi ya wapiganaji yapatayo 120, Ongezea kikosi kutoka SA, Ongezea Kikosi kutoka Malawi, Ongezea Kikosi kutoka TZ na Jeshi zima la Monusco hao wote wameshindwa hata kuchukua mita 100 za M23 halafu eti wataenda Kigali, you dont know what you are saying.
Kwa taarifa yako sasa, vijana wenu wanateketezwa kila kukicha, jana tu APC mbili za TZ zimeunguzwa na waliokuwemo ndani hakutoa mtu. Sasa kama M23 inawatoa kamasi ndio waende Kigali!! Hakuna kitu kama hicho.
Mkuu chambua hapa vizuri napenda hya mamboHata ukimuuliza Rwanda ina silaha gani sophisticated hawezi kukupa jibu kamili.
Mama Kizimkazi kipindi ameidhinisha TPDF kwenda DRC chini ya SADC alisema jeshi limeenda kwa mwamvuli wa SADC ila muongozo hutolewa na MONUSCO.
Kama TPDF ingeenda kwa mwamvuli wa SADC na kuwa na amri yake kama Mozambique DRC kungeongeleka mengine.
Itafakari hiyo kauli.
sijUmaluza ule uzi dahMmmmh tafuta uzi wangu wa mabraza wa kkoo na dili zao......nimeelezea safari yangu ya kivu kusini
Afu mbn hujaumalizia??nimesoma nikikuwaza hapaMmmmh tafuta uzi wangu wa mabraza wa kkoo na dili zao......nimeelezea safari yangu ya kivu kusini
Nichambue upande gani mkuu kulingana na uelewa wangu?!Mkuu chambua hapa vizuri napenda hya mambo
Hao ndugu zetu walioenda huko chini ya. Mwavuli wa sadc lakin amri ni munsco kama sijakoseaNichambue upande gani mkuu kulingana na uelewa wangu?!
Alicho badili ni kipi Rwanda, kujenga vimajengo Kigali au??Kagame huoni alivyoibadilisha Rwanda
Kwa habari nilizopata na kwa uelewa nilionao kuhusu hili jambo vikosi vya kulinda amani vya SADC vilivyoenda DRC vikijumlisha Malawi,S.A na Tanzania viko chini ya Force intervention brigade ya MONUSCO peace keeping mission.Hao ndugu zetu walioenda huko chini ya. Mwavuli wa sadc lakin amri ni munsco kama sijakosea
Na habari zimefika kuhusu hilo shambulio hakuna vifo ni askari mmoja wa JWTZ na raia mmoja wamepata minor injury na hakuna death threat.Acha war propaganda unadanganya watu , APC sio land cruiser au vitz iunguzwe kirahisi hivyo na watu wasitoke, kawadanganye wasiojua
Labda wamefanikiwa kuzidamage
Kwa maana hiyo kuna peace keeper na wanaoengageKwa habari nilizopata na kwa uelewa nilionao kuhusu hili jambo vikosi vya kulinda amani vya SADC vilivyoenda DRC vikijumlisha Malawi,S.A na Tanzania viko chini ya Force intervention brigade ya MONUSCO peace keeping mission.
Na kwasababu pale DRC peacekeeping organization inayoongoza ulindaji amani ni MONUSCO,hivyo hata vikosi vya SADC wanapokea maelekezo toka kwa MONUSCO kitengo cha FIB wapi washambulie na nini wafanye.
Amri haijasimama kwao asilimia mia kama ilivyo Msumbiji vikosi vya SADC vina amri yao kikamilifu.
Hiyo ni kwa mujibu wa mama Samia mkuu.
Japo TPDF pia wapo ndani ya MONUSCO na wana brigade yao ya Tanzbaat ndani ya kikosi cha UN peacekeeping ambacho wao kazi yao ni kulinda tu amani no engagement ila FIB ndio kunaruhusiwa kufanya engagement.
Kama nimekosea mtanirekebisha.
Ndio mkuu kuna walinda amani na neutralizer.Kwa maana hiyo kuna peace keeper na wanaoengage
Kuna ambush hizo anga sio poa Mungu awalinde
Israel ni kama njombe lkn shughuli yake wavaa kobazi wanaijua vzrRwanda ni sawa na wilaya ya sikonge mkoani tabora,wahuni wakiamua kukichafua,ni mwendo wa 60km tu kufika ikulu,Rwanda imekaa vibaya sana
Israel inayofichwa nyuma ya USA na UK??Israel ni kama njombe lkn shughuli yake wavaa kobazi wanaijua vzr
stor za madrasaIsrael inayofichwa nyuma ya USA na UK??
Hao wavaa kobazi anaopigana nao wanadunduliza silaha ila yeye akiishiwa silaha USA ishapaki manowari ikimpea silaha na pesa za vita.
Israel bila USA na Westerns ni kama bumunda tu.