Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

Ama M23 wataiteka Goma au majeshi ya SADC yataingia Ikulu Kigali

stor za madrasa
Kila anaesema ukweli ni stori za madrasa.
Hiyo Israel kafuatilie mpaka bajeti ya nchi inatoka USA zaidi ya $5 billion ya ulinzi pia inatoka USA .
Oktoba 7 hamas ilipovamia US navy walileta manowari tatu na askari maji zaidi ya 2000 ghuba ya middle east kuisapoti Israel.
Hiyo Israel unayoisifia narudia tena haina ubavu bila mabwana zake na yeye huonea wanyonge tu ila mwenye ubavu wa kumpinga hathubutu mathalan Hizbollah Lebanon na Iran.
 
Kila anaesema ukweli ni stori za madrasa.
Hiyo Israel kafuatilie mpaka bajeti ya nchi inatoka USA zaidi ya $5 billion ya ulinzi pia inatoka USA .
Oktoba 7 hamas ilipovamia US navy walileta manowari tatu na askari maji zaidi ya 2000 ghuba ya middle east kuisapoti Israel.
Hiyo Israel unayoisifia narudia tena haina ubavu bila mabwana zake na yeye huonea wanyonge tu ila mwenye ubavu wa kumpinga hathubutu mathalan Hizbollah Lebanon na Iran.
🚮
 
Sizungumzii uchumi,nazungumzia watu wakiamua kukinukisha,yaani Rwanda hapatakalika,vurugu nchi nzima
Rwanda ipo overrated sana. Jeshi la Rwanda kamwe haiwezi kulifikia jeshi la DRC. Ni vile kanuni za kimataifa zinawabana ila wakimuamulia kibabe hatoboi.

Jeshi la DRC lipo live training daily so sio jeshi la kitoto hilo.
 
Mukiambiwa muwe wadadavuzi na wapembuzi huwa hamuelewi.
Screenshot_2024-03-01-21-50-02-30_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-01-21-50-38-56_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-01-21-51-49-63_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-01-21-50-38-56_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-01-21-51-49-63_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Watusi ni akili kubwa
Nimesoma na wale jamaa sijaona akili kubwa hata upunje mkuu,bali nimeona inferiority complex inawasumbua wale jamaa na wana ile hurka ya maskini akipata makalio hulia mbwata.
Yani wanaona wakifika sehem pasi na kujinadi na kujitutumua basi hawawezi kusurvive,kumbe bongo amani tu aisee .
 
Hapa itatokea moja kati ya hayo mawili.

M 23 wakishindwa kuiteka Sake na Goma,jeshi la SADC litakwenda Ikulu Kigali.

Mpaka sasa jeshi la SADC ndio lina nafasi nzuri ya kushinda. Lina uwezo mkubwa,pia linasaidiwa na Urusi.

Mambo wanayofanya M 23 siyo Democratic,kwa hiyo nadhani Warusi wanataka kuhakikisha kuwa inakuwepo democracy Kongo.

Kwa hiyo Warusi wanataka kuleta....er...Russian Democracy katika nchi ya DRC.
Putin ashindwe kuweka democracy urusi hlf alete democracy DRC , hv waafrika mlilogwa na nan ? miaka ya 1990 mlisema USA analeta democracy yake huku AFRIKA
 
Mpaka sasa jeshi la SADC ndio lina nafasi nzuri ya kushinda. Lina uwezo mkubwa,pia linasaidiwa na Urusi.

Mambo wanayofanya M 23 siyo Democratic,kwa hiyo nadhani Warusi wanataka kuhakikisha kuwa inakuwepo democracy Kongo.
Urusi ipi hiyo unaiongelea?
 
Tatizo wahutu mnaongea sana
Acha Ufala, sisi hatuna specie hizo huku, na wahutu walau wanajielewa ndo maana utashangaa hata serikalini mifumo inawanutralize Watusi kuliko wahutu hapa Tz you know why? You are fools
 
hao wahutu ni watu makatili sana. sina hamu walichokua wanawafanya watu wa kagera na kigoma. ni washenzi sana. kuua kwao ni kitu kidogo sana.
 
Back
Top Bottom