Amani imetawala Tanzania ya Rais Samia

Amani imetawala Tanzania ya Rais Samia

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Tukizungumzia amani moja kwa moja tunazungumzia uhuru wa wananchi na nchi kwa ujumla tunaona Rais Samia Suluhu amerejesha amani Tundu Lissu leo amewasili nchini baada ya kuhakikishiwa ulinzi na usalama.

FnUo7rsWYAMTDuK.jpg

Baada ya kutua nchini, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amempongeza Rais Samia Suluhu kwa kuimarisha demokrasia na kuwezesha vyama vya siasa kuendelea na shughuli zao za kikatiba, shughuli ambazo zilisimama kwa miaka saba.
 
Chawa kazini, amani gani wakati watu wanashindwa kupata milo sahihi kutoka na kupanda maradufu tangu aingie madarakani. Ufisadi umetamalaki
 
Back
Top Bottom