Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huenda alitaka kututhibitishia kuwa hao askari walipiga 32 wakafanikiwa 16 pekee......!!!😊Wakitaka amani iwepo watende haki lakini wanachokiona viongozi wote ni wanafiki wa kutupa , Hivi unasnzisha jeshi la akiba unataka nini au unalenga kitu gani? Hili li mama nalo eti Askari akilenga risasi tatu akamkosa mtu atawajibu ndii kuleta amani uko , CCM sio wazima upstairs.
Kuna ugum gani kuhimiza hakiAmani inalindwa na haki wala siyo kwa mitutu, utekaji, na mateso.
Amani inahimizwa kwa maneno tofauti na HAKI inayohimizwa kwa matendo.Kuna ugum gani kuhimiza haki
Naenda kupiga kura Nina betto kwapani kama mkurya wakizingua namsukumia MTU betto mavi yamshuke yaan tuna malizana kimya kimya manina hao jeshi LA akiba tukutane kwenye ballot afu walete mbwai saiz tumeamua tuna mtaka lisuSwala la Amani uenda sambamba na Haki, katika uchaguzi huu swala la Amani linazungumzwa sana na viongozi wa kisiasa, viongozi wa ulinzi na usalama na viongozi wa kidini kila mahala lakini sisikii wakisisitiza haki.
Haki na Amani viubiriwe kote...