ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Mama Amina ni unyama wa kutoshaAddicted- Harmonize ft Ibbrah
Costa titch ni mbongo???acha kukurupuka,,,soma taito inaeleza nini??1. Single Again - Harmonize
2. Mchumba - Nandy
3. Shetani - Mbosso
4. Nitongoze - RayVanny
5. Superstar - Costa Titch
Nipe namba yakoNandy - Mchumba
Marioo - Mama Amina.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Dah hiyo ngoma ya shetani asee naweza sikiliza mpka watu wanune nishawahi toka moshi mpka bagamoyo wife akachomoa flash kavimba kumbe muda wote amesikiliza mpka kachoka. Miziki ni swala la hisia na moyo kupenda ila hio ngoma kwenye hizi beat za amapiano imenikosha. Konde naye anavibiti sio mchezo na mtoto marioo kiufupi midundo ikikaa sawa haijalishi ni hamo vann mondi kiba mm napita nao woteNimejiridhisha na Kwa mafanikio hizi ndo nyimbo Tani Kali zaidi za amapiano kuwahi kutengenezwa TAnzania
1. Single Again - Harmonize
2. Mama Amina - Mario
3. Ticha- Harmonize
4. Shetani - Marimboso
5. Anajikosha - harmonize
Hilo beat la ticha sio mchezoMarioo - mama amini
Harmonize - anajikosha
Damian soul - mapopo
mbosso - shetani
Harmonize - teacher
Sent using Jamii Forums mobile app
We mwamba una moyo😁😁😁Nipe namba yako
Kuna ile sehemu mondi anasema unanitaka alafu sauti inajibu basi nitongozeeee ishanipa demu pale pweza tena kimasihara sana.1. Single Again - Harmonize
2. Mchumba - Nandy
3. Shetani - Mbosso
4. Nitongoze - RayVanny
5. Superstar - Costa Titch
Sio poa aisee konde kwenye piano nae anafanya vyema saNaHilo beat la ticha sio mchezo
068432673*Nipe namba yako
Muda mwingi tunashinda unyamani BOB, slogan za kinyamaWe mwamba una moyo[emoji16][emoji16][emoji16]