Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitupie pm068432673*
Naunga mkono hojaIbrah National - Wangapi, Bonge moja la wimbo
Nakupa nyingine kavuCosta titch ni mbongo???acha kukurupuka,,,soma taito inaeleza nini??
Usingemweka Harmonenga hapo juu huu uzi ungekuwa batiliNimejiridhisha na Kwa mafanikio hizi ndo nyimbo Tani Kali zaidi za amapiano kuwahi kutengenezwa TAnzania
1. Single Again - Harmonize
2. Mama Amina - Mario
3. Ticha- Harmonize
4. Shetani - Marimboso
5. Anajikosha - harmonize
Nandy alitisha sanaNakupa nyingine kavu
1. Marioo - For You
2. Nandy - Mchumba
3. Harmonize - Single
4. Marioo - Dear Ex
5. Official Wike - Teacher
Hapo sasa kula mangoma
hivi NAOGOPA ni muziki aina gani aisee, wengine tumezoea kusikiliza Country na Rock lkn hii ngoma toka niisikie bar mwaka jana haijawahi kuchuja masikioni mwanguNimejiridhisha na Kwa mafanikio hizi ndo nyimbo Tani Kali zaidi za amapiano kuwahi kutengenezwa TAnzania
1. Single Again - Harmonize
2. Mama Amina - Mario
3. Ticha- Harmonize
4. Shetani - Marimboso
5. Anajikosha - harmonize
AiyeyeeMchumba unataka nini Mchupa 😆
Fresh ni rap instrumental beat sio amapiano01. Fresh Diamond platinumz
02. Dear ex Marioo
03. Single again Harmonize
04. Kunjani Nady ft Shoma djozi
05. Anajikosha Harmonize
Bonus Shetani amepita Mbosso
Ni km Zokou mixed with AfrobeatsNAOGOPA ni muziki aina gani aisee
Sawa Harmonize...Nimejiridhisha na Kwa mafanikio hizi ndo nyimbo Tani Kali zaidi za amapiano kuwahi kutengenezwa TAnzania
1. Single Again - Harmonize
2. Mama Amina - Mario
3. Ticha- Harmonize
4. Shetani - Marimboso
5. Anajikosha - harmonize
Maelekezo yapi unaweza kupewa na mtu aliyejitangaza anaishi kwa kuziba wanaume wenzie matundu ya mikojo na kinyesi chenye mchicha na matembele?Acha basi mkuu. Me nataka anipe maelekezo kidogo
Sawa shabiki wa harmonize.Nimejiridhisha na Kwa mafanikio hizi ndo nyimbo Tani Kali zaidi za amapiano kuwahi kutengenezwa TAnzania
1. Single Again - Harmonize
2. Mama Amina - Mario
3. Ticha- Harmonize
4. Shetani - Marimboso
5. Anajikosha - harmonize
Fresh ipi hiyo yenye beat la hip-hop???Fresh ni rap instrumental beat sio amapiano
Mambo mrembo?Yaani bia tamu haipo🙆🙆
Ft fid QFresh ipi hiyo yenye beat la hip-hop???