Amapiano waachiwe wa Afrika Kusini ndio wanaziweza Bongo na Naija wanapiga makelele tu!

Amapiano waachiwe wa Afrika Kusini ndio wanaziweza Bongo na Naija wanapiga makelele tu!

Ebwana lile dude la uncle waffles linaitwa Tanzania..last week nilikuwa pale longstreet capetown mtaa wa mapopo hilo dude lilinikosha kwakweli tena msauz kaisifia nchi yangu,, from beerhouse to bobs bar to souk to coco yaani clubs kibao lilikuwa ni hilo dude tu. Ukweli ni kwamba amapiano OG ya sauz ni muziki unaotengenezwa na sound engineers most of producers and DJs in south africa ni sound engineers. Amapiano bongo ni makelele tu ya s2kz hayawezi kupigwa hata MTV maana mixing ni uchafu na nyie mnaokesha kidimbwi chungeni sana maskio yanu maana mnasikiliza uchafu nyimbo hazina quality ni kelele uzeeni mtakuwa viziwi muanze kusumbua. Ushauri wangu tusiige wenzetu hawafanyi amapiano kutafuta jina wasauz muziki ni part ya maisha yao kila kona ukipita utakuta kwaya zinaperfom mitaani au vijana wanatumbuiza mitaani kila kona utakuta watumbuizaji wenye vipaji mitaani tu sasa bongo watu wanatafuta kiki tu.
Daaah! kweli kabisa inaonekana wasouth mziki kwao ni sehemu ya maisha yao maana wanapiga vitu vya kweli na vyenye vibe haswa
 
tafuta hizi ngoma
1)Mnike by tyler icu
2)Abomvelo by daliwonga
3)Depatje tsa felo by Daliwonga
ziko vizur sana quality sound za kwetu full makelele tu
Hiyo Ngoma ya abomvelo ni shida tuseme Tu umepiga castle lite zako kadhaa zimeshika mishipa ya damu... Damn unaweza kumlaumu Adam kwann alikula tunda tukapewa adhabu ya kifo
 
Ebwana lile dude la uncle waffles linaitwa Tanzania..last week nilikuwa pale longstreet capetown mtaa wa mapopo hilo dude lilinikosha kwakweli tena msauz kaisifia nchi yangu,, from beerhouse to bobs bar to souk to coco yaani clubs kibao lilikuwa ni hilo dude tu. Ukweli ni kwamba amapiano OG ya sauz ni muziki unaotengenezwa na sound engineers most of producers and DJs in south africa ni sound engineers. Amapiano bongo ni makelele tu ya s2kz hayawezi kupigwa hata MTV maana mixing ni uchafu na nyie mnaokesha kidimbwi chungeni sana maskio yanu maana mnasikiliza uchafu nyimbo hazina quality ni kelele uzeeni mtakuwa viziwi muanze kusumbua. Ushauri wangu tusiige wenzetu hawafanyi amapiano kutafuta jina wasauz muziki ni part ya maisha yao kila kona ukipita utakuta kwaya zinaperfom mitaani au vijana wanatumbuiza mitaani kila kona utakuta watumbuizaji wenye vipaji mitaani tu sasa bongo watu wanatafuta kiki tu.
Athi soba bona
Ukuthi banjani eTanzania ETanzania
Athi soba bona Eish
Ukuthi banjani eTanzania Tanzania
Athi soba bona
Ukuthi banjani eTanzania ETanzania
🎼🎼🔥🔥
 
Wabongo amapiano zao wanapiga makelele halafu,back vocal wanaitikia😀😀full makelele ,
🎼🎼Dada unataka pesa ( njoo uchukueeee)
Pombe wameshazileta(njoo uchukueee)
Ama ganja za kunyetaa(njoo uchukueeee)
Ama unataka mmh (njoo univueee)

Choreeshaaaaa unanchoreeshaaaa
Nimekubamba kubamba umenchoreeshaaa
Oyaaa pombe sio sigaara
Yaan ni makelele tu hasa hayo ma backvocal 😂😂😂
 
Back
Top Bottom