Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Ongezea na banyana ya daliwonga na wenzakedaliwonga anajua sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea na banyana ya daliwonga na wenzakedaliwonga anajua sanaa
Unyamaa mno. Zote ninazo hizo!tafuta hizi ngoma
1)Mnike by tyler icu
2)Abomvelo by daliwonga
3)Depatje tsa felo by Daliwonga
ziko vizur sana quality sound za kwetu full makelele tu
🤣🤣🤣Hio ngoma uisklize kwenye sound ya kibabe. Ndio utaipendaHiyo Ngoma ya abomvelo ni shida tuseme Tu umepiga castle lite zako kadhaa zimeshika mishipa ya damu... Damn unaweza kumlaumu Adam kwann alikula tunda tukapewa adhabu ya kifo
😀😀😀🎼🎼Dada unataka pesa ( njoo uchukueeee)
Pombe wameshazileta(njoo uchukueee)
Ama ganja za kunyetaa(njoo uchukueeee)
Ama unataka mmh (njoo univueee)
Choreeshaaaaa unanchoreeshaaaa
Nimekubamba kubamba umenchoreeshaaa
Oyaaa pombe sio sigaara
Yaan ni makelele tu hasa hayo ma backvocal 😂😂😂
Asake tapeli tu yule😀😀yule sio msanii ni kama 69 tekashiKwahiyo na ASAKE wa Nigeria anapiga makelele
Sema lugha ndo hujuiAmapiano ya bongo ndio amapiano bora kuliko ya south
Amapiano ya bongo kinaimbwa k2 knaeleweka,wasouth n makelele tu. "Amajugujugu eee" ndo nn..?
Mkuu ndo umenipoteza kabisa. Tapeli kivipi? Matapeli hawa ninaowajua auAsake tapeli tu yule😀😀yule sio msanii ni kama 69 tekashi
Tapeli WA muziki pale hakuna talent ila kapata umaarufu kutokana na kujitofautisha Mionekano kwenye videos zake ,na fashion za mavazi za ajabu,iyo mbinu marekani ishazoeleka Kuna wazugaji wengi kwenye music industry wameingia ili kupata umaarufu na sio passion zao,ata wewe kama unataka umaarufu unaweza kuupata ndani ya mwaka tu jichore tattoo uso mzima😀😀Kisha paka marangi rangi nywele jifanye msanii media zitakupa umaarufu 😀😀ndo mbinu ya wazugaji wengi wanaitumia kwa bongo naona diamond platinumz ameivamia kwa kuvaa fashion za ajabu na kuoga Mionekano yakina Asake ni mradi azungumziwe😀😀Mkuu ndo umenipoteza kabisa. Tapeli kivipi? Matapeli hawa ninaowajua au
Tapeli WA muziki pale hakuna talent ila kapata umaarufu kutokana na kujitofautisha Mionekano kwenye videos zake ,na fashion za mavazi za ajabu,iyo mbinu marekani ishazoeleka Kuna wazugaji wengi kwenye music industry wameingia ili kupata umaarufu na sio passion zao,ata wewe kama unataka umaarufu unaweza kuupata ndani ya mwaka tu jichore tattoo uso mzima😀😀Kisha paka marangi rangi nywele jifanye msanii media zitakupa umaarufu 😀😀ndo mbinu ya wazugaji wengi wanaitumia kwa bongo naona diamond platinumz ameivamia kwa kuvaa fashion za ajabu na kuoga Mionekano yakina Asake ni mradi azungumziwe😀
Unahitaji therapy mkuu. Kwamba, unataka kusema watu wanazingatia mwonekano wake na video kuliko audio zake. Asake ana sound ya kipekee sana. Hata ukisikia mziki wake kuna radha f'lani. Na aliyekuaminisha kwamba wasanii wote wenye mionekano tofauti hawako talented alizingua😁. Lil Wayne, Rick Ross, Post Malone na wengine wana talent kubwa regardless their physicalTapeli WA muziki pale hakuna talent ila kapata umaarufu kutokana na kujitofautisha Mionekano kwenye videos zake ,na fashion za mavazi za ajabu,iyo mbinu marekani ishazoeleka Kuna wazugaji wengi kwenye music industry wameingia ili kupata umaarufu na sio passion zao,ata wewe kama unataka umaarufu unaweza kuupata ndani ya mwaka tu jichore tattoo uso mzima😀😀Kisha paka marangi rangi nywele jifanye msanii media zitakupa umaarufu 😀😀ndo mbinu ya wazugaji wengi wanaitumia kwa bongo naona diamond platinumz ameivamia kwa kuvaa fashion za ajabu na kuoga Mionekano yakina Asake ni mradi azungumziwe😀😀
Uko sahihi nakubaliana na Wewe baadhi wapo poa sana ila wengi miyeyushoUnahitaji therapy mkuu. Kwamba, unataka kusema watu wanazingatia mwonekano wake na video kuliko audio zake. Asake ana sound ya kipekee sana. Hata ukisikia mziki wake kuna radha f'lani. Na aliyekuaminisha kwamba wasanii wote wenye mionekano tofauti hawako talented alizingua😁. Lil Wayne, Rick Ross, Post Malone na wengine wana talent kubwa regardless their physical
hata kama cjui lugha, labda we niambie 'shushushuu alkjuu awena yoooo" inamaana gan..?Sema lugha ndo hujui
Hivyo ni vionjo.hata kama cjui lugha, labda we niambie 'shushushuu alkjuu awena yoooo" inamaana gan..?
mmmmh... Hapana bhana, labda mfano mandakhiwe inamaudhui gan.Hivyo ni vionjo.
Rejelea uses of an art in the society.mmmmh... Hapana bhana, labda mfano mandakhiwe inamaudhui gan.
maada yetu inasemaje tukiachana na uses of an art..?Rejelea uses of an art in the society.