Amapiano waachiwe wa Afrika Kusini ndio wanaziweza Bongo na Naija wanapiga makelele tu!

Daaah! kweli kabisa inaonekana wasouth mziki kwao ni sehemu ya maisha yao maana wanapiga vitu vya kweli na vyenye vibe haswa
 
tafuta hizi ngoma
1)Mnike by tyler icu
2)Abomvelo by daliwonga
3)Depatje tsa felo by Daliwonga
ziko vizur sana quality sound za kwetu full makelele tu
Hiyo Ngoma ya abomvelo ni shida tuseme Tu umepiga castle lite zako kadhaa zimeshika mishipa ya damu... Damn unaweza kumlaumu Adam kwann alikula tunda tukapewa adhabu ya kifo
 
Athi soba bona
Ukuthi banjani eTanzania ETanzania
Athi soba bona Eish
Ukuthi banjani eTanzania Tanzania
Athi soba bona
Ukuthi banjani eTanzania ETanzania
🎼🎼🔥🔥
 
Wabongo amapiano zao wanapiga makelele halafu,back vocal wanaitikia😀😀full makelele ,
🎼🎼Dada unataka pesa ( njoo uchukueeee)
Pombe wameshazileta(njoo uchukueee)
Ama ganja za kunyetaa(njoo uchukueeee)
Ama unataka mmh (njoo univueee)

Choreeshaaaaa unanchoreeshaaaa
Nimekubamba kubamba umenchoreeshaaa
Oyaaa pombe sio sigaara
Yaan ni makelele tu hasa hayo ma backvocal 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…