Amatus Liyumba: Balaa!

Amatus Liyumba: Balaa!

Hakuwa anawala kivile, niliwahi kuwa meneja hoteli fulani alikua akileta dame, anampack hapo, anapotea hata mwezi, akija, analipa bill, na kuondoka, hata akiingia chumbani kwa dame, dakika kumi unamyona katoka, anawatoa hela za bia mbili tatu, anaenda zake,
Dame anakaa tena hata wiki tatu, hajaja,,

Kwamba idadi ya wanawake ilimzidi uwezo wa 'kuchakata'?

-Kaveli-
 
Hi guys!

Yule fisadi wa BOT aliekuwa akigawa gari nyekundu kwa ma miss na madazetu na kufanya wengine kuogopa hata kwenda kupima kutokanan na mawzo hivi jana alianguka akiwa kazini akisuburi kupangiwa nafasi nyingine...

Kwa wale wenye ndugu BOT mnaweza nyonya data zaidi tumwagie. Ninachofahamu alielekea hospital ya Aghakhan na baadae kuruhusiwa, kutokana na pressure na kisukari.

Mie "chichemi"
kweli maandishi yanaishi na mitandao haisahau.
 
Hi guys!

Yule fisadi wa BOT aliekuwa akigawa gari nyekundu kwa ma miss na madazetu na kufanya wengine kuogopa hata kwenda kupima kutokanan na mawzo hivi jana alianguka akiwa kazini akisuburi kupangiwa nafasi nyingine...

Kwa wale wenye ndugu BOT mnaweza nyonya data zaidi tumwagie. Ninachofahamu alielekea hospital ya Aghakhan na baadae kuruhusiwa, kutokana na pressure na kisukari.

Mie "chichemi"
Pole
 
Back
Top Bottom