financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mkuu, usifananishe elasticity ya vitu vingine na hicho kitu, Mungu fundi ujue hii lastic yake ni og [emoji3]Hata nguo za ndani (nafikiri umenipata vyema) zina elastic material lakini baada ya muda na kwa matumizi makubwa upwaya, aka, ulegea.
Mkuu wewe acha tu nisiongee sana,ila zishavunjwa amri zote tu[emoji12]kwa nn uonekane huna,kwan ushavunja amri ya 10-4?
Oa sasa unasubiri nini,unataka uendelee kuchezea mabinti za watu tuusina mkeπ
Pole sanaa mkuu ila Amazon wameskia kilio chenu wameamua kuja na vidonge msijali sanaaMkuu wewe acha tu nisiongee sana,ila zishavunjwa amri zote tu[emoji12]
Nipo hapa single mother with 4 kids[emoji3] Natafuta single mother!
Tayari ishatolewa [emoji849][emoji849][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh ,hatari na madhara yake je? Au ndyo matokeo kwanza,madhara baadaye doh,siwezi kutumia hata Kwa fimbo, bora kuonekana sina tu
Kwani Leo Baba swalehe[emoji3] [emoji3] hata sikumbukii kama nishawahi kumiliki[emoji12]Tayari ishatolewa [emoji849][emoji849][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana mkuu, hatuna shida ya vidonge kwani hivi tulivyo maisha yanasonga fresh tuuP
Pole sanaa mkuu ila Amazon wameskia kilio chenu wameamua kuja na vidonge msijali sanaa
Kwa hyo mko comfortable kabxa?maana kuna wadau hapa wanadai ukioa mwanamke asie na hicho kifaa n kama umeoa mke wa mtu ss cjajua madai yqo ka n yq kwel au lahHapana mkuu, hatuna shida ya vidonge kwani hivi tulivyo maisha yanasonga fresh tuu
Mabeberu gani tena[emoji15] sijaelewaa[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
hao kids kuna mabeberu mangapi!?.
Na hujaona ama kusikia wadau waliooa hao wasio na hivyo Vifaa na wanadai wanaishi vizuri tu?,we umeskia upande mmoja tu? Je unamaoni gani kuhusu hilo pia?Kwa hyo mko comfortable kabxa?maana kuna wadau hapa wanadai ukioa mwanamke asie na hicho kifaa n kama umeoa mke wa mtu ss cjajua madai yqo ka n yq kwel au lah
Ohoo, nna vidume 3 mkuu, gal 1[emoji3]kiume[emoji3]
Nakua neutral mkuuNa hujaona ama kusikia wadau waliooa hao wasio na hivyo Vifaa na wanadai wanaishi vizuri tu?,we umeskia upande mmoja tu? Je unamaoni gani kuhusu hilo pia?
Hizo shida zote lengo ni kumfurahisha kiumbe anaeitwa MWANAUME.,