Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
Mtoa mada upo sahihi asilimia nyingi ila sijui ni ngapi? H.M namfahamu fahamu kupitia shangazi yangu Cecilia ambaye ni rafiki yake wa siku nyingi. H.M kabla hata hajaanza kushiriki miss tz, ana makubwa kidogo yana azavali. Lakini alibadilika alipokuja kuwa public figure. Acheni kabisa H.M ana experience ya maisha ya anasa hata kabla hajawa super staa, baada ya kuwa super staa ndiyo akaanza kuji treat vizuri.
Sijaenda shule lakini am sure sio Mburula kiasi hicho mmh eti mojawapo ya mtu kutoshika mimba ni kufanya kinyume na maumbile....wonder shall never end oooohhh...Jf is never boring
You just called me Mburula, and you are declaring your lack of education, and you expect wonders to end!!!
Wewe unawezaje kuverify kwamba maelezo yake yote ni sawa, mimi kilichonisukuma kuandika hapa ni namna alivyokuwa akielezea, kwanza alikuwa akielezea kama vile ni mtalaamu mpaka dakika za mwisho aliposema kwamba ikumbukwe yeye sio Daktari, lakini kabla ya hapo tayari alikuwa amekwisha sababisha hofu kubwa sana.
Nilikuwa naangalia kipindi hicho na familia yangu, niliiona tension waliyokuwa nayo mabinti pale ndani, ni mpaka nilipouanzisha mada hiyo tena na kuijadili kwa mapana zaidi ambapo kimsingi, wadada walikiri utoaji wa mimba ni chanzo kikubwa zaidi cha uharibifu wa kizazi.
Yeye kama anaweza ajaribu kukumbuka historia ya maisha yake maeneo ya kigogo, inaweza kumsaidia pia, lakini hakuna anayehukumu hapa.
Endometriosis ni ugonjwa unaofanya mtu apate tabu kushika mimba,unakua diagnosed by heavy painful periods treatment kucontrol sio kutibu ndio kuna vidonge vya uzazi vinavyotoa hormone.
Dada wa watu amefunguka ili watu wasikae tu majumbani na kuvumilia watoke wawaone madaktari afu anatokea mbulula km huyu.
Ivi watu maarufu wote inakuwaje madaktari wa muhimbili wanashindwa kuwatibu, mimi nmefindishwa kuhusu huo ugonjwa ni rare cases lakini naujua, iweje madaktari bigwa wa pale muhimbili washidwe kujua, kuna mwingine anasema walishidwa ku-diagnose fracture ambayo hata clinical officer ana doagnose
Mimi sikubaliani na wewe mkuu! Kinachokusukuma wewe ni hisia zaidi lakini mwenyewe anadai Ana tatizo ambalo halina uhusiano wowote na utoaji mimba, ivi hujui kwamba ukiwa na tatizo unaweza kulijua zaidi ya daktari? Na nani amekuambia madaktari wanajua kila kitu?
Haya mambo yenu ya kuhisi/kudhani hayana maana kabisa! Pamoja na tatizo lake lakini amekuwa na courage ya kulizungumzia Hilo tatizo ni moyo mkubwa sana, tumtie moyo na sio vinginevyo. Kudai Hilo tatizo madaktari wa muhimbili ndio wanaanza kujifunza hata sishangai hata kidogo ikiwa Tanzania nzima daktari wa upasuaji moyo wa watoto yupo bugando tu na alisoma Israel!
Unashangaa nn mkuu?! Taaluma ya udaktari ni pana sana na kuna maeneo mengi sisi bado tupo nyuma/hatujaanza kujifunza au hatuna wataalamu, nilishawahi kuumwa na madaktari wakawa wanadai Nina matatizo ya akili! Kila daktari walikuwa wanasema hivyo hivyo! Ila nafsi yangu ilikataa na hata symptoms zilikuwa ni nyingi mno!
Na nilikuja kupona kabisa kwa msaada wa mtu ambaye hakuwa na hata taaluma ya udaktari! Muache tabia za kuhukumu na kuvunja watu moyo.
Inatokea a thousand times mkuu, Mimi marehemu babu yangu mzaa mama alikufa na prostate cancer! Ni madaktari hao hao wa muhimbili walidai ni hernia! Walivyomfanyia upasuaji ni Kama walikuwa wamemwagia petrol kwenye moto wa gas, namkumbuka mpaka jina la daktari aliemfanyia upasuaji ni nshomile ingekuwa nchi za watu wengine unaweza kumshitaki.
Jestina, na zinc ni Mburula?Mtoa mada upo sahihi asilimia nyingi ila sijui ni ngapi? H.M namfahamu fahamu kupitia shangazi yangu Cecilia ambaye ni rafiki yake wa siku nyingi. H.M kabla hata hajaanza kushiriki miss tz, ana makubwa kidogo yana azavali. Lakini alibadilika alipokuja kuwa public figure. Acheni kabisa H.M ana experience ya maisha ya anasa hata kabla hajawa super staa, baada ya kuwa super staa ndiyo akaanza kuji treat vizuri.
Kwani mimi nimesema ametoa mimba? sana sana wewe utajuaje hilo ndio tatizo ndio chanzo pekee cha tatizo wakati yeye anasema kabla ya kugungulika alikuwa amekwishafanya operations nyingi sana? what if ni hizo operations ndio zimeleteleza hilo tatizo?
Na amesema amekuwa akipata mimba lakini zinaharibika, inamaana tatizo hilo ndio linasababisha miscarriage pia?
Mimi mwenyewe nimeishaugua na kupewa story nyingi sana na madaktari, wakati tatizo ni tofauti kabisa, japo hiyo haimaanishi madiktari wako wrong wakati wote.
Mkuu Hutu jamaa ni mgumu kuelewa zaidi anatumia hisia as if wewe ume conclude. Kuwa tatizo ni kutoa mimba and not otherwise!!!!!"Kwani mimi nimesema ametoa mimba? sana sana wewe utajuaje hilo ndio tatizo ndio chanzo pekee cha tatizo wakati yeye anasema kabla ya kugungulika alikuwa amekwishafanya operations nyingi sana? what if ni hizo operations ndio zimeleteleza hilo tatizo?
Na amesema amekuwa akipata mimba lakini zinaharibika, inamaana tatizo hilo ndio linasababisha miscarriage pia?
Mkuu Hutu jamaa ni mgumu kuelewa zaidi anatumia hisia as if wewe ume conclude. Kuwa tatizo ni kutoa mimba and not otherwise!!!!!"
Kwani mimi nimesema ametoa mimba? sana sana wewe utajuaje hilo ndio tatizo ndio chanzo pekee cha tatizo wakati yeye anasema kabla ya kugungulika alikuwa amekwishafanya operations nyingi sana? what if ni hizo operations ndio zimeleteleza hilo tatizo?
Na amesema amekuwa akipata mimba lakini zinaharibika, inamaana tatizo hilo ndio linasababisha miscarriage pia?
Wewe acha kuchezea akili zetu lengo lako liko wazi kabisa na umekutana na akili kubwa sasa unatafuta mlango wa kutokea.