Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,448
Mtoa mada upo sahihi asilimia nyingi ila sijui ni ngapi? H.M namfahamu fahamu kupitia shangazi yangu Cecilia ambaye ni rafiki yake wa siku nyingi. H.M kabla hata hajaanza kushiriki miss tz, ana makubwa kidogo yana azavali. Lakini alibadilika alipokuja kuwa public figure. Acheni kabisa H.M ana experience ya maisha ya anasa hata kabla hajawa super staa, baada ya kuwa super staa ndiyo akaanza kuji treat vizuri.
Una maanisha nn kwamba the so called "shangazi Cecilia" alikua akimuuza HM? Just open up! Ama alikua shangingi kurumbembe like Dida wa Mchops? Is it?