Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,659
- Thread starter
- #41
Amesema wadada wanakubali utoaji mimba ndio sababu kubwa ya kuharibika kwa mimba! Wewe unatafsiri vp kauli yake? Amekataa kusema moja kwa moja ni indirect statement, kwahiyo alichokuwa anachokizungumzia muathirika ni uongo kwa maana nyingine! Mnataka atoe sababu ambayo ipo kwenye vichwa vyenu.
Mkuu, hao wadada hawakuelezea hata kidogo swala la utoaji mimba, ndo swali langu, kwani kama najua alikuwa na historia ya kutoa mimba nini kinanifanya nishindwe kusema? alafu wapi nimesema amedanganya?