sokwe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,022
- 1,059
Sijui kwanini kati wa wanawake wasio weza pata watoto ninaowajua karibu wote ni wanaojiweza kimaisha siyo machokest.
Inawezekana unakuwa related nao sana marichest na sio machokest ila wapo wengi tu masikini na sababu ni nyingi tu.