Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jana nmeingia website ya nida nkakuta wamejiongeza kwani unaweza jaza details zako wakakuletea namba yako, sasa tangu jana mpk leo sijaona wale wanaosajili mitaani wakipita tena wakati kabla sijapata namba kila siku walikua wanapita, mi nasubiri wapite ndo nisajili sitaki kupoteza nauli kwenda kwe maduka yao
Hapo unatakiwa uende ofisi ya Nida watakupatia namba yako.Mkuu nimejaribu kuingiza details imekataa kuniletea namba nimetumie text napo nimeshindwa kupata na nilishajisajili kupata kitambulisho hapo nafanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimejaribu kuingiza details imekataa kuniletea namba nimetumie text napo nimeshindwa kupata na nilishajisajili kupata kitambulisho hapo nafanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
hazifungwi mkuu ni mikwara tuDakika za nyongeza zinazidi kuyoyoma, kuna muda roho inanistua kuwa zitafungiwa kweli ila najifariji tu... sijui nani aingilie kati.