Ambao hatujawahi kuchanjwa chale wala kwenda kwa waganga licha ya kuishi kwenye mazingira yenye uchawi sana tukutane hapa

Sisi ndio watu wabishi ambao hatusomeki kwenye rada za kina Mshana Jr[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Moja ya mambo ambayo ninawashukuru wazazi na walezi wangu ni pamoja na hili la kuulinda mwili wangu na kunikabidhi ukiwa hauna Alama za chale. Naendeleza walipoishia.
 
Ndui dawa inaingia kwenye mishipa,chanjo ni nje ya mwili na damu inatoka ,we hiyo Bado ni ya wazungu?!!
 
Umekagua vizuri mkuu huenda ukichanjwa usiku na wachawi au utotoni

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Chanjo ya mzungu sio Ushiriki ila kinga asili kutoka kwa babu zako ndo ushirikina.

Change your mindset
 
Mnafanana kabisa na familua yetu aiseee.
 
Chanjo ya mzungu sio Ushiriki ila kinga asili kutoka kwa babu zako ndo ushirikina.

Change your mindset
Chanjo ya mzungu ina-mechanisms na formula ambayo inaeleweka na kufahamika duniani kote, ambayo hata wewe mwenyewe unaweza kuifanya na ikakuletea matokeo yaleyale.

Izo chale zenu za mababu ambazo anajua babu tuu na hataki mwingine ajue ndio ushirikina wenyewe
 

Sawa

Sasa kama hizo chanjo zina formula kil mtu anaweza why tushindwe kupata Chanjo ya magonjwa kama hep b, TB nk mpaka tusubir kuletwa na wazungu?.
 
Usipokuwa na kinga mwanga hakuoni, Sasa hapo kama ni mgeni anajua wewe una Kinga kali kumzidi na umeificha... Ndio maana rada inanasa taharifa ya kitu ambacho Ina informations zake Kwa jinsi ilivyokuwa instructed.
Mwanga akikuditect una Kinga atataka Mpimane, ukimshinda anaenda kuwapa taharifa wenzake, nao wakikushindwa inatumwa taharifa ngazi ya Kijiji, kata nk
 
Duh kweli mkuu umeona mengi yani yani mtu anatuna ndani ya nyumban anajaa nyumban nzima[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
wamekufanya nn mkuu
Watu wangu wa karibu wanataka niangamie
wamekufanya nn mkuu
Aise mambo ni mengi. Chuki, kuchonganishana, wivu tena kutoka Kwa watu wa karibu. Kuna mtu wa karibu kabisa anatamani nife ili hali bado nipo kwenye nyumba za kupanga na watoto 4! Nikifikiria nilichofanya sikijui.

Niliwatendea wengi wema wananilipa majungu na masengenyo. Kabla sijaoa niliwekeza maisha yangu Kwa watu wengine. Nilivyooa majukumu yakawa mengi nikikwama kitu kidogo nasemwa mpaka basi. Kuna mwaka nilipata safari ya kwenda nje ya nchi kikazi kuna mtu niliyemtoa mbali aliumia sana. Pia wananisema vibaya ninavyoishi na watoto wangu wanne (wote wasichana). Yaani ili mradi tafrani. mambo yangu mengi yamevuruguka Kwa kukosa utulivu.
 
Acha kutudanganya, hebu angalia hapo kichwani karibu na utosi uone kama hamna chale tatu.

Mengine yalifanywa na wazazi wetu pasi kujua.

Mengine yamefanywa na wachawi tukiwa tumelala.
Kabisa hawaelewi dada mkubwa wazazi walisha maliza yao kitambo. Wao wanapiga kifua mbele na kujipongeza bila kujua yanafanywa alikuwa juu ya mgongo.😎
 
Hii inaweza ikawa kweli.. kuna maza mmoja wa kizaramo nilikuwa nakula sana matunda kwenye genge lake (anasifika kwa ndumba na yeye hakatai)..katika kupiga stori sijui ikawaje tukaanza kuongelea mambo haya.. akaniambia live hapa mtaani kwetu (kipindi nakaa kigogo) ni nyumbani kwetu na nyumba nyingine moja akaitaja ndio hamjafanyiwa mila yoyote (hatuna busta)... na mtaa wetu ulikuwa una watu wengi sana wanaoenda church.. nilikuwa namuuliza una ushahidi gani.. ananiambia tunajuana ingawa mimi ndio nasemwa sana kwasababu sifichi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…