Ambao hatujawahi kuchanjwa chale wala kwenda kwa waganga licha ya kuishi kwenye mazingira yenye uchawi sana tukutane hapa

Ambao hatujawahi kuchanjwa chale wala kwenda kwa waganga licha ya kuishi kwenye mazingira yenye uchawi sana tukutane hapa

Swalama Wananzengo.
Kila mtu anazaliwa na kinga yake ya kimwili na ya kiroho.

Kinga nyingine tunaziongezea baada ya kuzaliwa kama kinga ya magonjwa ya surua, polio, kifua kikuu, dondakoo nk

Wengine sasa huenda mbali zaidi kwa kuongeza kinga za kiroho kwa kuchanjwa chale na waganga, kumezeshwa mafuta ya Mwamposa ili mtoto asidhurike (huu nao ni uganga new model).

Pia kuna sisi ambao tumekaa sehemu ngumu, kwenye urozi wa kila aina na wa kila rangi lakini hatukuyumbishwa.

Nimekaa sehemu zenye Wanyamanyafu, nimekaa kwa kina Ibambanghulu, mtu anatuna ndani ya nyumba anajaa nyumba nzima.

Sikufanya chochote juu ya mwili wangu na roho yangu.

Sisi ndio watu wabishi ambao hatusomeki kwenye rada za kina Mshana Jr
Ibambangulu na wanyamanyafu wako wapi na unaweza kuelezea kidogo Bujibuji Simba Nyamaume
 
Jamani.... Kuna dogo ameamka na alama mgongoni.....hata sijaelewa Ni kitu gani.... Anaulizwa hapa.... Anasema hakumbuki kuumia.... Je, ndio hizo chale/ mihuri ya kichawi.? Mshana Jr .... Naomba ushauri katika hili
 
Swalama Wananzengo.
Kila mtu anazaliwa na kinga yake ya kimwili na ya kiroho.

Kinga nyingine tunaziongezea baada ya kuzaliwa kama kinga ya magonjwa ya surua, polio, kifua kikuu, dondakoo nk

Wengine sasa huenda mbali zaidi kwa kuongeza kinga za kiroho kwa kuchanjwa chale na waganga, kumezeshwa mafuta ya Mwamposa ili mtoto asidhurike (huu nao ni uganga new model).

Pia kuna sisi ambao tumekaa sehemu ngumu, kwenye urozi wa kila aina na wa kila rangi lakini hatukuyumbishwa.

Nimekaa sehemu zenye Wanyamanyafu, nimekaa kwa kina Ibambanghulu, mtu anatuna ndani ya nyumba anajaa nyumba nzima.

Sikufanya chochote juu ya mwili wangu na roho yangu.

Sisi ndio watu wabishi ambao hatusomeki kwenye rada za kina Mshana Jr
Mbona kama nilishawahi kusoma humu kuwa Mshana Jr si mlozi siku hizi?
 
Watu wangu wa karibu wanataka niangamie

Aise mambo ni mengi. Chuki, kuchonganishana, wivu tena kutoka Kwa watu wa karibu. Kuna mtu wa karibu kabisa anatamani nife ili hali bado nipo kwenye nyumba za kupanga na watoto 4! Nikifikiria nilichofanya sikijui.

Niliwatendea wengi wema wananilipa majungu na masengenyo. Kabla sijaoa niliwekeza maisha yangu Kwa watu wengine. Nilivyooa majukumu yakawa mengi nikikwama kitu kidogo nasemwa mpaka basi. Kuna mwaka nilipata safari ya kwenda nje ya nchi kikazi kuna mtu niliyemtoa mbali aliumia sana. Pia wananisema vibaya ninavyoishi na watoto wangu wanne (wote wasichana). Yaani ili mradi tafrani. mambo yangu mengi yamevuruguka Kwa kukosa utulivu.
Huyu ni Mimi kabisa yaani mpaka some time nawaza niende mbali sana yaani na Dunia
 
Back
Top Bottom