Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #41
Nasikia huwa hamli kiss mapenzi😄Mwanamke ndo aliyenifanya kuanza kunywa pombe na mwanamke ndo aliyenifanya kuacha pombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia huwa hamli kiss mapenzi😄Mwanamke ndo aliyenifanya kuanza kunywa pombe na mwanamke ndo aliyenifanya kuacha pombe
KwaniniNasikia huwa hamli kiss mapenzi😄
Mwandiko kama naufahamu hivi.Kwanini?
Yani ukitoa maji na soda ambayo nina miaka kadhaa pia nimeiacha pia, sijatumia kinywaji kingine chochoteeeeeeeRedbull nayo hujagusa?
Hapana,kichwa yako haijazoea kabisa vilevi.Ko we una kunywa ni mwendawazimu ehh??
Aah id yangu ni ya zamani ni mpwayungu townMwandiko kama naufahamu hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kalii unachanganyiaa majani au cyoo mkuuu[emoji1666]...Sijawahi kunywa pombe hta tone wala sigara hta kipisi ila kali nachanganyia siku mojamoja nikiwa suelewi
Kali ndo nini mkuu🤔??
Kausha mkuu utaamsha waliolala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kalii unachanganyiaa majani au cyoo mkuuu[emoji1666]...
Aaaah mkorofi kivipi tena mkuu?Siku hizi Ume kuwa mkorofi bro🤔😄
Cgara ambayo inawashwa mbele na nyuma mkuu na inachanganyiwaa Kwenye kutoa kitu Cha arushaaa kuletaa testa flaniiii mkuu pindi unavuta[emoji23][emoji23][emoji23]Kali ndo nini mkuu[emoji848]??
Ndobile shada 😄😄, mla skanka mwenzio ni fundi bishoo na MaghayoKausha mkuu utaamsha waliolala
Mbona una ulizia I'd ya zamani ya Jamaa😄😄Aaaah mkorofi kivipi tena mkuu?
Asante mkuuhongera kwa ku jali afya yako
wew unaekunywa pombe tambua
muhimbili imeelemewa na wagonjwa wa figo
Dawa hii kituNdobile shada 😄😄, mla skanka mwenzio ni fundi bishoo na Maghayo
Ko mkuu we ni mpwayungu village?Aah id yangu ni ya zamani ni mpwayungu town
Tupo kiongozi
Mkuu na sito tumiaHapana,kichwa yako haijazoea kabisa vilevi.