we unatuuzia afu ww hutumii๐๐ shabaaashiNdobile shada ๐๐, mla skanka mwenzio ni fundi bishoo na Maghayo
๐๐๐๐๐ mbona wewe hujawa?[emoji1787] Umeanza liniiiii si utakuwa kichaa auntie
Still Bado kijana mdogo ukikua kua utaelewaBro mi hata sifikirii kujaribu, am just enjoying the way I live
Drinking is drinking muraaa๐, Hakuna Cha civilized Wala nini ๐๐Still Bado kijana mdogo ukikua kua utaelewa
Nilikuaga kama wew ila Huwa mara moja Moja Huwa nakunywaga wine๐ทna spirit for recreational purpose tena Kwa kipimo MAALUM
Unywaji hutusaidia kufuta takataka nyingi kwenye ubungo ๐๐
So AKILI IKITAKATA NA MWILI LAZIMA UNATAKATA๐๐๐
Nachukia ulevi na walevi period!! Drink responsible kama wazungu (highly civilized people)
Mdogo angu save hii comment inshallah ten years to come uje uni prove wrong sawaa...Drinking is drinking muraaa๐, Hakuna Cha civilized Wala nini ๐๐
And it shall be so, soon naku tafuta unipe deal ya ugali Kaka.Mdogo angu save hii comment inshallah ten years to come uje uni prove wrong sawaa...
๐๐โบ๏ธโบ๏ธ
Mi kazi yangu ku supply tu๐๐๐, we endelea kuji lipua ๐๐we unatuuzia afu ww hutumii๐๐ shabaaashi
Mi hapana aisee, I will never take any of themVyote hvo nimelipuka navyo....sigara nligusa mara Moja, pombe sio mtumiaji Sana ila mdogo mdogo naigusa kwa matukio maaalum
Hii unayotupa hapa sasa ndio mivigaAm not addicted to anything, that one straight i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...
Powaaa haina shidaAnd it shall be so, soon naku tafuta unipe deal ya ugali Kaka.
Maisha hayaeleweki piga ulanzi mpaka utembeee kichwa chini miguu juuMi hapana aisee, I will never take any of them
All right bro, I mean no malice to nobodyPowaaa haina shida
Kisha wani rekodi, Afu waitupoe if au sio๐๐Maisha hayaeleweki piga ulanzi mpaka utembeee kichwa chini miguu juu
โบ๏ธโบ๏ธ๐๐Maisha hayaeleweki piga ulanzi mpaka utembeee kichwa chini miguu juu
Nan ana mda wa kukurecord? Hayo mambo ya kurecord ni Nyie ambao hamtumii vilevi Ndo mnaturecord tu ili kutudhalilishaKisha wani rekodi, Afu waitupoe if au sio๐๐
Nachukia ulevi sana ila Kuna walevi na wanywaji...Ko kulewa una ona ni sifa๐๐
Au huelewi elewi unakunywa Mbege Lita mbili hapo unakojoa wadudu wote wa yutiai๐โบ๏ธโบ๏ธ๐๐